Mwamba akapime DNA hata akute mtoto ni wake yeye atoe huduma tu kwa mtoto ila sio kigezo cha kufanya maisha na huyo mwanamke. Kwa nini? Kuna sababu mbili kuu
KWANZA, mwanamke ni malaya. Nimeona kuna sehemu mwamba anasema demu alikuwa anaishi na jamaa wana mtoto mmoja.
Imagine jamaa kaja Dar tu leo anaomba mzigo kesho anatunukiwa hiyo tayari ni red flag kuwa manzi ni malaya na hata hajui baba wa mtoto ni nani inaonyesha anatombesha sana.
PILI, akifanya naye maisha kisa tu mtoto ni wake atakuwa amefanya maisha na single maza. Na kanuni zetu ni zilezile inapohusu single maza:
●Hatulei bao la mwanaume mwingine
●Mwanaume anatakiwa aanzishe familia yake sio ajiunge kwenye familia ya mwanaume mwenzake
●Single maza waolewe na baba za watoto wao
●Single maza ni wa kupiga na kusepa
Mwanaume mpumbavu na mjinga tu ndiye anayeweza kumuoa single maza
Learn or perish