Nimecheka sana hii comment, hapo umemkatisha matumaini muhusika moja Kwa moja.!Kapime DNA upate uhakika, kwa wanawake wa sasa inawezekana hata nyie wote wawili mtoto sio wenu.
Ukitaka kujua ukweli, tishia kama unataka umchukue mtoto akalelewe na bibi yake yaani mama yako uone, akiruhusu huyo mtoto n wako, akigoma basi jua siku ulipompitia wewe next day akaenda kudaka Kwa mwingineWakuu maisha yangu yamejaa mapito magumu sana ambayo kuwa sitarajii kabisa kukutana nayo kwenye maisha yangu.
mwaka juzi mwezi wa kumi tarehe 9 nilitoka mbeya na kurudi dar na kesho yake nilikutana kimwili na mwanamke ambaye tulikuwa na mahusiano kitambo . Baada ya kumaliza yaliyonileta dar nilirudi kwenye harakati za mikoani . Baada kama ya mwezi yule mwanamke aliniambia ameshika ujauzito mimi nilifurahi ila nikawa na wasiwasi huenda mimba sio yangu.
Nikamjulisha hilo akadai kuwa ni uhakika mimba ni yangu . Nikamjulisha basi kama mimba ni yangu lazima ajifungue tarehe 10 mwezi wa saba mwaka jana.
Na kweli alijifungua tarehe hiyo hiyo nilikuwa nisharudi dar na nilimhudumia vizuri tu japo sio kwa ukubwa ambao ningemhudumia kama nisingekuwa na mashaka.
Naomba niwajulishe zaidi kuhusu huyu mwanamke. Alikuwa na mtoto mmoja alizaa na jamaa mmoja . wakati nipo kwenye mahusiano nae nikiwa dar alikuwa kwa wazazi sikuwa nimepata taarifa kuwa tayari alienda kuishi na jamaa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 12 nikawa nimepigiwa simu na namba ngeni nikapokea . Baada ya salamu jamaa akaniuliza unamfahamu Rose ( sio jina halisi)
Nikamjibu ndio namfahamu
Ninani kwako . Nikamjibu kwanini unaniuliza
Ndio akaniambia kuwa amekuwa akiona mawasiliano yangu na rose mda mrefu ila kuwa hajui kinachoendelea na muda mrefu anaishi na rose.
Nikaamua kumuuliza mtoto wa mwisho niwa kwako akadai ni wake aisee?
Moyo ulishtuka sana?
Ikabidi nimwambie ukweli kuwa ni mtoto wangu na nipo kwenye mahusiano na rose kitambo kumwaminisha zaidi ni cheti cha kuzaliwa cha mtoto ambacho kina jina langu na jina nililompa mtoto mimi
Japokuwa baadae niligundua nyumbani kuwa wanamwita jina jingine
Basi jamaa tulitulizana kiume na akadai kwenda kupima DNA ila jioni yake nikampigia akiwa na rose nikamwambia ampe simu rose aweke loud speaker aseme mtoto ni wanani ila rose aligoma katu , tukapanga tutakutana tuongee na jamaa ila akapotea moja kwa moja na alinyamaza.
Mahusiano yao yaliyumba akamwacha mwanamke mwenyewe mpaka sasa anafika mara chache sana na hahudumii kama awali na mimi vivyo hivyo nimepunguza sana kuhudumia.
Japokuwa ananiaminisha sana na mtoto ana vingi anafanana na mimi zaidi ila mashaka yapo . Hata wazazi wake aliwaambia mtoto Mtoto ni wangu ila bado hata nao siwaamini sijui nifanyeje moyo wangu uwe huru
Ni mtoto kike mzuri sana.
Natamani sana hili likae vizuri.
Kama ni mtoto wangu nimpe matunzo asilimia mia na nimweke moyoni nifurahie.
Kama sio mwanangu basi ni move on.
Hili linaniumiza sana maana sina ujasiri wa kukemea malezi anayolelewa mwanangu na ningependa kuandaa future yake nimfungulie account mapema nianze kumwekea vishilingi lakini ndio hivyo nipo katikati
Mnanishauri nifanyeje wakuu?
Hatuwazi mwanamke ndio kasababishaHuo ndio uanaume sio kitoboana mabisu kisa mwanamke.
Nishamtishia DNA wala hata hawazi na anajua nina kipato kikubwa tu cha kumuduUkitaka kujua ukweli, tishia kama unataka umchukue mtoto akalelewe na bibi yake yaani mama yako uone, akiruhusu huyo mtoto n wako, akigoma basi jua siku ulipompitia wewe next day akaenda kudaka Kwa mwingine
Duuh ndivyo ilivyo tena laki tano wanaila kiwepesi hivyoNimecheka sana hii comment, hapo umemkatisha matumaini muhusika moja Kwa moja.!
Nasikia ukienda kupima DNA lazima waseme mtoto ni wako ili kuweka mambo sawa.
Nafikiri alee tu so longer anafanana na hesabu zimethibitisha n wake haina shida.
SawaMkuu lete 300k then nitakuchukua sample wewe na mwanao then nitakupa majibu kama ni wako au sio wako lakin sitakupa evidence yoyote majibu nitakupa kwa mdomo tu kama upo tayari
Kama wangekuwa wapuuzi wangeanza kuwindana ili kutiana mabisu,nawapongeza sana.Hatuwazi mwanamke ndio kasababisha
Kwenye DNA za kienyeji awe makini asije ongeza mlemavu kwenye jamiiKam ulipg hesabu za mtoto kujifung Tareh x mwez x na ikawa bas n wako
NO 2. Kafanye DNA za kienyeji
Kweli kabisa!Pindi wanaume wawili mnapogundua mna mahusiano na mwanamke mmoja yule atakaebaki na huyo mwanamke ndo mwanaume dhaifu zaidi
DNA za kienyeji!!Kam ulipg hesabu za mtoto kujifung Tareh x mwez x na ikawa bas n wako
NO 2. Kafanye DNA za kienyeji
Kabisa inawezekanaKapime DNA upate uhakika, kwa wanawake wa sasa inawezekana hata nyie wote wawili mtoto sio wenu.
Yes hizo ni cheap na ndio msema kweli 🥸🥸DNA za kienyeji!!
Zipoje mkuu!!?Yes hizo ni cheap na ndio msema kweli 🥸🥸
• Da pole sana aise... ☹️☹️,Wakuu maisha yangu yamejaa mapito magumu sana ambayo kuwa sitarajii kabisa kukutana nayo kwenye maisha yangu.
mwaka juzi mwezi wa kumi tarehe 9 nilitoka mbeya na kurudi dar na kesho yake nilikutana kimwili na mwanamke ambaye tulikuwa na mahusiano kitambo . Baada ya kumaliza yaliyonileta dar nilirudi kwenye harakati za mikoani . Baada kama ya mwezi yule mwanamke aliniambia ameshika ujauzito mimi nilifurahi ila nikawa na wasiwasi huenda mimba sio yangu.
Nikamjulisha hilo akadai kuwa ni uhakika mimba ni yangu . Nikamjulisha basi kama mimba ni yangu lazima ajifungue tarehe 10 mwezi wa saba mwaka jana.
Na kweli alijifungua tarehe hiyo hiyo nilikuwa nisharudi dar na nilimhudumia vizuri tu japo sio kwa ukubwa ambao ningemhudumia kama nisingekuwa na mashaka.
Naomba niwajulishe zaidi kuhusu huyu mwanamke. Alikuwa na mtoto mmoja alizaa na jamaa mmoja . wakati nipo kwenye mahusiano nae nikiwa dar alikuwa kwa wazazi sikuwa nimepata taarifa kuwa tayari alienda kuishi na jamaa.
Sasa mwaka jana mwezi wa 12 nikawa nimepigiwa simu na namba ngeni nikapokea . Baada ya salamu jamaa akaniuliza unamfahamu Rose ( sio jina halisi)
Nikamjibu ndio namfahamu
Ninani kwako . Nikamjibu kwanini unaniuliza
Ndio akaniambia kuwa amekuwa akiona mawasiliano yangu na rose mda mrefu ila kuwa hajui kinachoendelea na muda mrefu anaishi na rose.
Nikaamua kumuuliza mtoto wa mwisho niwa kwako akadai ni wake aisee?
Moyo ulishtuka sana?
Ikabidi nimwambie ukweli kuwa ni mtoto wangu na nipo kwenye mahusiano na rose kitambo kumwaminisha zaidi ni cheti cha kuzaliwa cha mtoto ambacho kina jina langu na jina nililompa mtoto mimi
Japokuwa baadae niligundua nyumbani kuwa wanamwita jina jingine
Basi jamaa tulitulizana kiume na akadai kwenda kupima DNA ila jioni yake nikampigia akiwa na rose nikamwambia ampe simu rose aweke loud speaker aseme mtoto ni wanani ila rose aligoma katu , tukapanga tutakutana tuongee na jamaa ila akapotea moja kwa moja na alinyamaza.
Mahusiano yao yaliyumba akamwacha mwanamke mwenyewe mpaka sasa anafika mara chache sana na hahudumii kama awali na mimi vivyo hivyo nimepunguza sana kuhudumia.
Japokuwa ananiaminisha sana na mtoto ana vingi anafanana na mimi zaidi ila mashaka yapo . Hata wazazi wake aliwaambia mtoto Mtoto ni wangu ila bado hata nao siwaamini sijui nifanyeje moyo wangu uwe huru
Ni mtoto kike mzuri sana.
Natamani sana hili likae vizuri.
Kama ni mtoto wangu nimpe matunzo asilimia mia na nimweke moyoni nifurahie.
Kama sio mwanangu basi ni move on.
Hili linaniumiza sana maana sina ujasiri wa kukemea malezi anayolelewa mwanangu na ningependa kuandaa future yake nimfungulie account mapema nianze kumwekea vishilingi lakini ndio hivyo nipo katikati
Mnanishauri nifanyeje wakuu?