Sema mkuu umezingua 😂😂Au wamama mnasemaje? @Dr Lizzy @Simara @Culture Me @cocastic @Sky Eclat @Joanah @Bushmamy @Numbisa @Shunie @Depal @Makiwendo @Evelyn Salt @Hannah @Stress Challenger @Chaliifrancisco
Hao ni wamama na wababa ninaowajua kidogo ndio maana nimewatag, hakuna rainbow hapo.Ao uliowatag ni wanaume wenzio wanatumia majina yanayotaka kufanana na kike ,kuwa Makin Kuna Mtu amewaona na wamemlia nauli na kakutana nao ni upinde
Huyo ni baba namjua ni chaliangu wa hapo Matejoo Arusha Raha.Sema mkuu umezingua 😂😂
Kuna Chaliifrancisco umemuingizaje hapo?
Asee nimewekwa kwenye kundi la wamamaSema mkuu umezingua 😂😂
Kuna Chaliifrancisco umemuingizaje hapo?
Kakosea kusema “au wamama mnasemaje”Asee nimewekwa kwenye kundi la wamama
Dah, ila nimekumiss natamani tupate mtoto kama huyu mimi na wewe.Kakosea kusema “au wamama mnasemaje”
sitakiDah, ila nimekumiss natamani tupate mtoto kama huyu mimi na wewe.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ni nani aliyeliwa nauli, na alikutana na nani? Hebu wekeni wazi bas. KhaaaaahAo uliowatag ni wanaume wenzio wanatumia majina yanayotaka kufanana na kike ,kuwa Makin Kuna Mtu amewaona na wamemlia nauli na kakutana nao ni upinde
Vipi aliota meno akiwa na miezi mingapi?Nashangaa kweli huyu mtoto kwanza ametembea ana miezi 8
Haina noma siku hizi umepata danga zuri unaniona waki sana.sitaki