Mtoto wangu ananishangaza

Mtoto wangu ananishangaza

My boy aki na 1.3 Kuna muda Hadi wiki inapita anavalishwa diaper usiku hakojoi asubuhi ndo anakojoa , kutembea kaanza na 10months , maneno mengi .. Image recognition Yuko very smart, ukimwambia kitu na kumwonesha next time yeye mwenyewe anakuonesha na kujaribu kutamka .

Kwa ufupi mwanao huenda kafuata kwako au kwa Baba yake , muulize mama yako mzazi kama yupo akuambie ulikuwaje ulivyokuwa mdogo.

Mama aliniambia Mimi nilikuwa Active kuliko mwanangu , ukorofi mwingi alafu akacheka akasema Zamu yako imefika
 
Mtoto akifika miezi 7 anatakiwa afunzwe kupangwa kujisaidia haja zote kubwaa na ndogo mpk akiamkwa asubuhi unamuweka Kwa potti mpk akojoe mchana pia unamuacha km masaa mawili then unampanga Tena
Mwishowe huzoea hyo Hali wanangu wote wameacha kujisaidia miaka miwili labda itokee bahati mbaya sanaa
Wengine tuna Malezi ya kizamani ya watoto yaani namfunza Bado mdogo haja zote


Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Duuh, sasa c ndio mpaka upate Mwanamke mwenye kujua hivyo na awe na muda sasa.

Shukran sana though
 
Ana IQ KUBWA

Chakubwa, unatakiwa kumshukuru Mola Mlezi na siyo kulileta humu!!! Hasad is real na inatosha kuhusudiwa kwa kule kumhadithia mtu hata bila kuiona NEEMA husika...

Tujenga utamaduni wa kuhifadhi mambo yetu ya familia kama hakuna ulazima sana kuyasimulia.

Tutakaribisha Hasad katika majumba yetu.
Ni ushauri tu!
Asante mkuu kwa ushauri
 
Back
Top Bottom