Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
Duuh, sasa c ndio mpaka upate Mwanamke mwenye kujua hivyo na awe na muda sasa.Mtoto akifika miezi 7 anatakiwa afunzwe kupangwa kujisaidia haja zote kubwaa na ndogo mpk akiamkwa asubuhi unamuweka Kwa potti mpk akojoe mchana pia unamuacha km masaa mawili then unampanga Tena
Mwishowe huzoea hyo Hali wanangu wote wameacha kujisaidia miaka miwili labda itokee bahati mbaya sanaa
Wengine tuna Malezi ya kizamani ya watoto yaani namfunza Bado mdogo haja zote
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Asante mkuu kwa ushauriAna IQ KUBWA
Chakubwa, unatakiwa kumshukuru Mola Mlezi na siyo kulileta humu!!! Hasad is real na inatosha kuhusudiwa kwa kule kumhadithia mtu hata bila kuiona NEEMA husika...
Tujenga utamaduni wa kuhifadhi mambo yetu ya familia kama hakuna ulazima sana kuyasimulia.
Tutakaribisha Hasad katika majumba yetu.
Ni ushauri tu!