Mtoto wangu anayeishi na mama yake tulieachana analelewa ndivyo sivyo, ustawi wa jamii imeshindikana kumchukua, mama yake hataki niwe nae, nifanyeje?

Mtoto wangu anayeishi na mama yake tulieachana analelewa ndivyo sivyo, ustawi wa jamii imeshindikana kumchukua, mama yake hataki niwe nae, nifanyeje?

Ni mtoto wa kiume mwenye miaka 9 anaingia 10 Mwezi wa tatu mwaka huu

Mama yake ni msomi ana kazi inayomlipa fresh

Mimi nilishamove on ila huwa natuma shilingi laki 2 kila mwezi na ada ya mtoto huwa nailipa nusu, sikuwa na haja ya kupima dna maana mtoto ni copy kabisa, mama yake ni hawa wanawake wenye mindset ya miss independent kujitegemea wenyewe.

Huko ustawi wa jamii nilienda kabla mtoto hajafika miaka saba nikaambiwa nisubiri afike 7, akiwa na iaka miwili nikaja kuoa mwanamke mwengine ambae ni mke wangu wa sasa, aliniambia hawezi kuishi na mtoto wa nje, nami nilijiongeza nisifosi maana nishaona watoto wengi wanavyoteswa na mama wa kambo ikabidi yule mtoto nimuache huko huko.

Mwaka huo huo niliooa mama yake alipata kazi mkoa tofauti wa mbali, mimi nilikuwa nadhani mtoto analelewa vizuri lakini baada ya uchunguzi nafikiria kubadilisha maamuzi nichukue mtoto wangu , sababu ni hizi:

Mtoto kila siku anakula chipsi mayai mchana, akitoka shuleni mchana huwa kuna sehemu anaenda anapikiwa chipsi mayai, mama yake kaweka bili za kila wiki.

bado analala na mama yake

Mtoto anaonewa sana shuleni mama yake anamwambia eti usipigane, mtoto wangu shuleni ndie wale "wakujipigia", kabadilisha shule tatu hadi sasa, mama yake ananificha ficha lakini najua sababu ni uonezi.

Hapa nifenyeje, nifosi nimlete nyumbani kwa mke asietaka kulea mtoto wa nje au nimuache huko huko ?

watoto hawana bibi wala babu
Nibora ukamwacha hukohuko kwa mama yake
Mana pamoja na changamoto ya mama yake lakini bado ni bora kuliko huyo mkeo mpya
 
Kina junior ndio walivyo lakini pia wanawake wengi wananufaika na hela wanazotuma wanaume za matunzo hvyo hawezi kubali umchukue.
 
Hapo utumie akili usikurupuke, huyo mtoto anaweza lishwa sumu na mama yake mbele ya safari akaenda kuongea uongo ilimradi usiishi nae, na mtoto kama ndio huyo wa kupenda chipsi mayai kila siku hawezi kuondoka kwa mama yake kirahisi.

Tumia akili hasa kutengeneza urafiki wa karibu na mama yake, piga nae story sana kila siku ili ukija kumwambia habari za kumhamishia mtoto shule za mjini kwa manufaa yake ya baadae, uekeweke, issue itakuja mama yake anaweza kujiweka pembeni kumsomesha, hiyo kazi itakuwa yako.

Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
 
Pagumu hapo hao wanawake huwa wamesoma shule gani za kukufundisha kumlisha mtoto junk foods kila siku?
Ukitamka kumchukua mtoto nadhani utakuwa ugomvi muhimu tenga mda wa likizo uwe unakaa naye na kumfundisha baadhi ya namna mwanaume anatakiwa kuwa ,kama njia hiyo haitafanya kazi angalia namna ingine(nadhani mwanamke wako hatokataa akae kwako likizo)
Swali langu ni je huyo mkeo wakati unamuoa ulimficha kuwa una mtoto?
 
Yaani mwanamke anajua kabisa kwamba wewe mwanaume una mtoto uliyempata kabla ya kumuoa yeye halafu anakupa vitisho kabisa kwamba hataki kukaa na huyo mwanao. Na bado mwanaume unamwona huyo mwanamke kwamba anafaa kuwa mke na unamuoa kabisaaa? Kweli binadamu tunatofautiana.
Hata mi nimeshangaaa,
 
Hiyo Sheria ya miaka saba inatoka wapi? Binti yangu nilimchukua kwa mama yake akiwa na 4yrs. Nafikiri ustawi wanaangalia zaidi wapi mtoto atalelewa vizuri
 
Tatizo sio mama yake Wala usitawi wa jamii, Bali ni wewe kukosa sifa za uanaume.
Wakati unaoa mke mwingine hakutakiwa kukupa sharti la kukataa kukaa na mtoto wako. Kama alikupa na wewe ukakubali ni wazi amekutawala kwani mtoto ulimpata kabla ya kukutana naye.
Kama ungechukua nafasi yako Kama mwanaume haya yasingetokea.
 
Ni mtoto wa kiume mwenye miaka 9 anaingia 10 Mwezi wa tatu mwaka huu

Mama yake ni msomi ana kazi inayomlipa fresh

Mimi nilishamove on ila huwa natuma shilingi laki 2 kila mwezi na ada ya mtoto huwa nailipa nusu, sikuwa na haja ya kupima dna maana mtoto ni copy kabisa, mama yake ni hawa wanawake wenye mindset ya miss independent kujitegemea wenyewe.

Huko ustawi wa jamii nilienda kabla mtoto hajafika miaka saba nikaambiwa nisubiri afike 7, akiwa na iaka miwili nikaja kuoa mwanamke mwengine ambae ni mke wangu wa sasa, aliniambia hawezi kuishi na mtoto wa nje, nami nilijiongeza nisifosi maana nishaona watoto wengi wanavyoteswa na mama wa kambo ikabidi yule mtoto nimuache huko huko.

Mwaka huo huo niliooa mama yake alipata kazi mkoa tofauti wa mbali, mimi nilikuwa nadhani mtoto analelewa vizuri lakini baada ya uchunguzi nafikiria kubadilisha maamuzi nichukue mtoto wangu , sababu ni hizi:

Mtoto kila siku anakula chipsi mayai mchana, akitoka shuleni mchana huwa kuna sehemu anaenda anapikiwa chipsi mayai, mama yake kaweka bili za kila wiki.

bado analala na mama yake

Mtoto anaonewa sana shuleni mama yake anamwambia eti usipigane, mtoto wangu shuleni ndie wale "wakujipigia", kabadilisha shule tatu hadi sasa, mama yake ananificha ficha lakini najua sababu ni uonezi.

Hapa nifenyeje, nifosi nimlete nyumbani kwa mke asietaka kulea mtoto wa nje au nimuache huko huko ?

watoto hawana bibi wala babu

Achana na huyo mtoto ishi kwa Amani, utanishukuru baadae.
 
Wewe hutaki kuchukua Mtoto wako.Ungekuwa unataka ungeshamchukua Wala huhitji Ustawi wa Jamii Wala nini.Unaenda Shule Unaondoka Naye Unampeleka Kwa BIBI yake au Ndugu yako yoyote,Anakaa huko kwa muda huku unajenga naye mahusiano.Unatulia.Mama Ake akimtaka unamwambia tu atafute mwanaume mwingine azae naye mtoto mwingine kama anapenda sana watoto.

All in All Ushauri wangu ni OA mama yake ili ukae na mtoto umlee.Acha kukimbia Majukumu.Kama Hataki Kuolewa na wewe basi wewe una shida au wote wawili mnashida.So kwanza malizeni hizo shida zenu kisha muoane mlee mtoto
Sonma kwa utulivu mada ndiyo utoe maoni yako, ili kuepuka aibu ndogondogo kama hizi !
 
Ni mtoto wa kiume mwenye miaka 9 anaingia 10 Mwezi wa tatu mwaka huu

Mama yake ni msomi ana kazi inayomlipa fresh

Mimi nilishamove on ila huwa natuma shilingi laki 2 kila mwezi na ada ya mtoto huwa nailipa nusu, sikuwa na haja ya kupima dna maana mtoto ni copy kabisa, mama yake ni hawa wanawake wenye mindset ya miss independent kujitegemea wenyewe.

Huko ustawi wa jamii nilienda kabla mtoto hajafika miaka saba nikaambiwa nisubiri afike 7, akiwa na iaka miwili nikaja kuoa mwanamke mwengine ambae ni mke wangu wa sasa, aliniambia hawezi kuishi na mtoto wa nje, nami nilijiongeza nisifosi maana nishaona watoto wengi wanavyoteswa na mama wa kambo ikabidi yule mtoto nimuache huko huko.

Mwaka huo huo niliooa mama yake alipata kazi mkoa tofauti wa mbali, mimi nilikuwa nadhani mtoto analelewa vizuri lakini baada ya uchunguzi nafikiria kubadilisha maamuzi nichukue mtoto wangu , sababu ni hizi:

Mtoto kila siku anakula chipsi mayai mchana, akitoka shuleni mchana huwa kuna sehemu anaenda anapikiwa chipsi mayai, mama yake kaweka bili za kila wiki.

bado analala na mama yake

Mtoto anaonewa sana shuleni mama yake anamwambia eti usipigane, mtoto wangu shuleni ndie wale "wakujipigia", kabadilisha shule tatu hadi sasa, mama yake ananificha ficha lakini najua sababu ni uonezi.

Hapa nifenyeje, nifosi nimlete nyumbani kwa mke asietaka kulea mtoto wa nje au nimuache huko huko ?

watoto hawana bibi wala babu
Fosi uishi na mwanao,kama mkeo hataki aondoke yeye.
 
Kachukue mwanao akileta ngebe mtengenezee mwanya mdomoni mwake kwa ghafla.
 
Jifanye bogas kumbe una lako ...panga namna ya kumuiba na mpeleke mbali kwa ndugu na ukimhiba waambie nimeshachukua dam yangu msihangaike kumtafuta.
 
Ni mtoto wa kiume mwenye miaka 9 anaingia 10 Mwezi wa tatu mwaka huu

Mama yake ni msomi ana kazi inayomlipa fresh

Mimi nilishamove on ila huwa natuma shilingi laki 2 kila mwezi na ada ya mtoto huwa nailipa nusu, sikuwa na haja ya kupima dna maana mtoto ni copy kabisa, mama yake ni hawa wanawake wenye mindset ya miss independent kujitegemea wenyewe.

Huko ustawi wa jamii nilienda kabla mtoto hajafika miaka saba nikaambiwa nisubiri afike 7, akiwa na iaka miwili nikaja kuoa mwanamke mwengine ambae ni mke wangu wa sasa, aliniambia hawezi kuishi na mtoto wa nje, nami nilijiongeza nisifosi maana nishaona watoto wengi wanavyoteswa na mama wa kambo ikabidi yule mtoto nimuache huko huko.

Mwaka huo huo niliooa mama yake alipata kazi mkoa tofauti wa mbali, mimi nilikuwa nadhani mtoto analelewa vizuri lakini baada ya uchunguzi nafikiria kubadilisha maamuzi nichukue mtoto wangu , sababu ni hizi:

Mtoto kila siku anakula chipsi mayai mchana, akitoka shuleni mchana huwa kuna sehemu anaenda anapikiwa chipsi mayai, mama yake kaweka bili za kila wiki.

bado analala na mama yake

Mtoto anaonewa sana shuleni mama yake anamwambia eti usipigane, mtoto wangu shuleni ndie wale "wakujipigia", kabadilisha shule tatu hadi sasa, mama yake ananificha ficha lakini najua sababu ni uonezi.

Hapa nifenyeje, nifosi nimlete nyumbani kwa mke asietaka kulea mtoto wa nje au nimuache huko huko ?

watoto hawana bibi wala babu
Jizime data mchukue muelimishe mke tafuta watu wamuandae mke kisakolojia
 
Athari za wazazi kutengana. Una uhakika ukimchukua wewe atapata malezi bora kutoka kwa mama yake wa kambo?
Binadamu wabinafsi hapo anajua mtoto hata amchukue atapata tabu , mda huo ana mwanamke wmingine ambaye atamtesa ...Huu ndio ujinga wa kuzaa ni kumkatili mtoto .

walioachana washapata wenza ila mtoto hawezi kupata malezi mazuri milele.
 
Back
Top Bottom