Mtoto wangu hacheki kwa sauti

Mtoto wangu hacheki kwa sauti

huyu anaongea anaita baba,tata
Ndio.....wengi wana ita baba, mama, dada na tata hata akikua, ila maneno mengine hataweza au atakuwa anaongea kama mtoto ukubwani, Kuna kitu huwa wanakatiwa sijui kooni au kwenye ulimi, pia amwangalie akilia kama ulimi anaunyanyua
 
Ndio.....wengi wana ita baba, mama, dada na tata hata akikua, ila maneno mengine hataweza au atakuwa anaongea kama mtoto ukubwani, Kuna kitu huwa wanakatiwa sijui kooni au kwenye ulimi, pia amwangalie akilia kama ulimi anaunyanyua
Unanyanyuka mkuu
 
Kiume.una binti?
Sasa toto la kiume unataka lichekecheke? Hebu liache litafakari maisha yajayo.

Nina mabinti wawili wazuri balaa. Unataka mmoja wapo aje ambemende huyo kichanga wako?
 
Mtoto wangu ana miezi Tisa now alhamdulilah yupo vema
Ila kuna kitu kinanipa hofu,hajui kuongea ila anapenda kuita baba,tata eeh tena kwa sauti kubwa kabisa.
Shida ipo kwenye kucheka akicheka hatoi sauti kabisa inatoka kidoogo hata umtekenye vipi.
Nifanyeje mwanangu acheke kwa sauti hadi majirani wasikie jamani?
Hahahaa huu utani asa shida majiran wasikie au shida msikie ndani ya nyumba
 
Back
Top Bottom