Naona sasa busara unaziweka kando na umekaa kimipasho zaidi! Nilifikiri hoja yetu kule inaendelea, lakini inavyoonesha umeanza kuzidiwa! Ule uzi si bado upo? Tuendelee na Mjadala ZeMarcopolo mwenye degree ya vyuo vya Ughaibuni!
Alivosema jamaa ni kweli. Michango yako iko zaifu.
Nyinyi ndio mmenufaika na ukabila mpaka tunafikiria kupeleka watoto wetu Ulaya.
Alivosema jamaa ni kweli. Michango yako iko zaifu.
Nyinyi ndio mmenufaika na ukabila mpaka tunafikiria kupeleka watoto wetu Ulaya.
Mkuu,Asiyefunzwa na wazazi wake hufunzwa na Dunia. Hiki ndicho kinachomkuta huyu ExpertBroker , hii Dunia ya ushindani mambo ya upendeleo hayana nafasi. Kupendelewa ni mbio za sakafuni, kwenye industry clients wanataka kuona results sio vyeti. Ndio maana watu kama hawa wakija kwenye mijadala wanaambulia aibu.[/QUOTE]
Hii ndio mijadala? Hunijui na wala sikujui, unachofanya ni kutafuta pa kutokea baada ya kuelemewa na mjadala kule kweny suala la apartments.
Unahangaika kama panya aliyebanwa na mlango, mara nimesoma vyuo uchwara, mara nina degree feki, mara nimependelewa! Hoja zako zimekaa ki wivu wivu zaidi!
Wewe ndio mtu makini bingwa wa hoja kama unavyotaka ieleweke hapa jamvini? Kwa mipasho nitakukubali, but mie kwa upande wangu nitakustahi, nisingependa kuingia uko maana sijakaa kimipasho zaidi!
Unachokionesha hapa ni tabia ya..................Kubwa zima, aibu!
Mkuu,Asiyefunzwa na wazazi wake hufunzwa na Dunia. Hiki ndicho kinachomkuta huyu ExpertBroker , hii Dunia ya ushindani mambo ya upendeleo hayana nafasi. Kupendelewa ni mbio za sakafuni, kwenye industry clients wanataka kuona results sio vyeti. Ndio maana watu kama hawa wakija kwenye mijadala wanaambulia aibu.
Hii ndio mijadala? Hunijui na wala sikujui, unachofanya ni kutafuta pa kutokea baada ya kuelemewa na mjadala kule kweny suala la apartments.
Unahangaika kama panya aliyebanwa na mlango, mara nimesoma vyuo uchwara, mara nina degree feki, mara nimependelewa! Hoja zako zimekaa ki wivu wivu zaidi!
Wewe ndio mtu makini bingwa wa hoja kama unavyotaka ieleweke hapa jamvini? Kwa mipasho nitakukubali, but mie kwa upande wangu nitakustahi, nisingependa kuingia uko maana sijakaa kimipasho zaidi!
Unachokionesha hapa ni tabia ya..................Kubwa zima, aibu!
Nice ideas. Ulaya gharama ndiyo hizo 50! Kinachofanyika ni KUHAMISHA raslimali za Tanzania kwenda huko Ulaya. Ni ufisadi tu.
Baada ya kulipa hizo mwishowe unapata hiyo elimu na MILA zao. Tunakuwa na imported culture. Ndiyo maana hawa vijana wetu waliosoma nje wana elimu lakini ni watumwa wa mila.
Hatima ya yote haya ni kukosa UZALENDO. Sasa hivi tupo ki matabaka. Wa nje hawaeleweki maana hapa wanapaona ni ugenini. Kwao ni huko walikosoma na wanaweza hata kusaidia uporaji maana hao wazungu ni WENZAO.
ni kichekesho kweli! Unajua ni kitu gani kinachopoteza uzalendo tz? Nyerere alisoma wapi? Matabaka ktk nchi ndio chanzo kikuu cha kupoteza uzalendo.Leo fikiria elimu nchini inatolewaje,kuna baadhi ya wanafunzi wanakosa mikopo huku wakiwa na sifa zote,matokeo yake ni kusoma kwa shida sana,unategemea nini baadaye
Vyuo vya tanzania ni full
majanga,ukabila si ukabila,uonevu si uonevu.Mijitu inapewa maksi na gpa
kubwa kwa kigezo cha ukabila matokeo yake ni wahadhiri bomu na mwisho
wake elimu ya kishenzi.mtoto wangu hatosoma tz maana elimu imebakwa na
wajinga wachache
mnapootoa hzi mada mtoe na mifano kama uthibitisho basi.
Vyuo vya tanzania ni full majanga,ukabila si ukabila,uonevu si uonevu.Mijitu inapewa maksi na gpa kubwa kwa kigezo cha ukabila matokeo yake ni wahadhiri bomu na mwisho wake elimu ya kishenzi.mtoto wangu hatosoma tz maana elimu imebakwa na wajinga wachache
Sasa huko utakapo mpeleka mwanao kwenye elimu bora inabidi hiyo elimu bora ije imsaidie kuwaza nje ya boksi sio unampeleka huko halafu anarudi kuanza kutafuta kazi na sisi tuliosoma huku bongo mwambie yeye awe akina Bill Gates, Steve Job, na etc..oracle na vitu kama hivyo akifanya hivyo kweli atakua ameonesha ubora wa elimu ya huko...aliko ipata..!!!Vyuo vya tanzania ni full majanga,ukabila si ukabila,uonevu si uonevu.Mijitu inapewa maksi na gpa kubwa kwa kigezo cha ukabila matokeo yake ni wahadhiri bomu na mwisho wake elimu ya kishenzi.mtoto wangu hatosoma tz maana elimu imebakwa na wajinga wachache