Mtu akinywa castlelite 4, kisha akaendesha gari 120kph, anajihisi kama 30kph, sababu ni ipi hasa?

Mtu akinywa castlelite 4, kisha akaendesha gari 120kph, anajihisi kama 30kph, sababu ni ipi hasa?

Hii nimeshajaribu mara kadhaa, ukicheki dashboard mshale unasoma 120kph, gari inaenda kasi, lakini unaona kama imesimama hivi.., ukicheki nje unaona kabisa hii gari haizidi 30kph..,
Mwanaume kunywa Lite Beer sio sawa.
Mwanaume anzia kwenye Lager kuelekea kwenye Gin nk
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee unalewaa ngapiiii?
Uduguu castle lite mwanaume analewaje? 😂😂😂
Mimi hizo napiga kreti km kirimanjaro water
 
Hii nimeshajaribu mara kadhaa, ukicheki dashboard mshale unasoma 120kph, gari inaenda kasi, lakini unaona kama imesimama hivi.., ukicheki nje unaona kabisa hii gari haizidi 30kph..,
Huyo mtu ni KICHWA PANZI!
 
Back
Top Bottom