Mtu akiwa anakaribia kukata roho huwa anaona aibu kuangalia usoni watu wanaokuwa karibu yake

Kuna sababu kadhaa za kiafya na kisaikolojia zinazoelezea hali hiyo. Mtu anapokaribia kufariki, mwili wake huwa unapitia mabadiliko mbalimbali ambayo yanaathiri mfumo wa fahamu, ikiwa ni pamoja na uwezo wa kuona. Baadhi ya sababu ni hizi:

Kuzorota kwa mzunguko wa damu: Damu na oksijeni hupungua katika viungo na kuzingatia maeneo muhimu zaidi kama moyo na ubongo.

Kusababisha hali ya hofu au utulivu: Mtu anapokaribia kufariki, akili inaweza kuanza kuchukua hali ya kutotambua mazingira yanayomzunguka.

Hali ya karibu na kifo (Near-death experience): Watu wengi walio karibu na kifo huripoti hali ya mwanga, utulivu wa ajabu, au kushindwa kuona.
 
Yeah sure,tupo vizuri!

Baada ya yote pole sana kwa msiba wa mama tunamuomba Mungu aendelee kumpumzisha.
 
Mimi wengi niliowashuhudia.
Walianza kwanza kupoteza fahamu, halafu baadae sana ndio roho inawatoka.

So hivo vitendo vya kuonea mtu aibu vinakuwa havipo.
 
Pole mkuu
 
Sababu sio kwamba anakuonea aibu the issue is anaona vitu ambavyo ninyi hamuoni so focus yake ipo kwao zaidi kuliko ninyi.
 
Wazuri hawadumu mkuu.
Umenikumbusha mama yangu
Alivyokuwa mkarimu.

Kwetu watu wazima hasa akina mama na watoto walikuwa hawapungui.

Siku moja baba yetu karibu azimie baada ya kutoka safari...alishtushwa kukuta watu wamejaa home, ghafla akishtuka akihisi labda msiba umetokea na hajajulishwa....daah kigo ni konyo sana
 
Pole sana mkuu kwa kumpoteza mtu muhimu
 
Mwishowe mpaka natamani kumfata aliko. 🤔Jamii forum imekuwa familia kwangu napata faraja sana mjadala mbalimbali kubadilishana mawazo
Tunamshukuru MUNGU kwa ajili ya maisha yao, I lost Mom and dad muda mrefu Tu.... nasikitika hata baadhi ya wanangu hawakubahatika kuwafahamu wazazi Wangu
 
Mungu azilaze mahali pema peponi roho za wapendwa wetu waliotangulia mbele ya haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…