Mtu akiwa anakudai ni sawa kukuposti mitandaoni kukuita tapeli?

Mtu akiwa anakudai ni sawa kukuposti mitandaoni kukuita tapeli?

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wakuu.

Mimi siijui sana sheria kwani sio.taaluma yangu kabisa.

Well
Hapa ninapoishi kuna jirani yangu huyu mama mtu wa miaka Kati ya 30's . Huyu dada ni mtu wa mikopo sana sijui kausha damu mara vicoba sijui whatever anajua vyote.

Mara kadhaa amekuwa akija kujificha kwangu asubuhi sana watu wanaomdai wanakuja kumtafuta kwake.
Mumewe ni dereva wa magari makubwa anasafiri sana.

Sasa kilichonileta hapa ni moja. Dada huyu kanifuata leo jioni tu ananiuliza nimshauri Kuwa wanaomdai hasa mmoja huyo nati yake imevurugika kidogo.

Huyo mdai anamtishia dada huyu kuwa ataweka picha yake mitandao yote kuwa yeye ni tapeli nawatu wasimuamini.

Sasa dada anauliza kama hilo nalo ni kosa la kuvua utu wa mtu au avumilie tu kisa anadaiwa? Binafsi mimi sijui sana hayo mambo nikakosa cha kumjibu zaidi ya kuona kayakakanyaga..

Nadhani hapa tutapata jibu kabisa.
 
Wakuu.

Mimi siijui sana sheria kwani sio.taaluma yangu kabisa.

Well
Hapa ninapoishi kuna jirani yangu huyu mama mtu wa miaka Kati ya 30's .
Huyu dada ni mtu wa mikopo sana sijui kausha damu mara vicoba sijui whatever anajua vyote.

Mara kadhaa amekuwa akija kujificha kwangu asubuhi sana watu wanaomdai wanakuja kumtafuta kwake.
Mumewe ni dereva wa magari makubwa anasafiri sana.

Sasa kilichonileta hapa ni moja.
Dada huyu kanifuata leo jinni tu ananiuliza nimshauri

Kuwa wanaomdai hasa mmoja huyo nati yake imevurugika kidogo
Huyo mdai anamtishia dada huyu kuwa ataweka picha yake mitandao yote kuwa yeye ni tapeli nawatu wasimuamini.

Sasa dada anauliza kama hilo nalo ni kosa la kuvua utu wa mtu au avumilie tu kisa anadaiwa.?

Binafsi mimi sijui sana hayo mambo nikakosa cha kumjibu zaidi ya kuona kayakakanyaga..

Nadhani hapa tutapata jibu kabisa.
Lipeni madeni yenu
 
Kama anagoma kulipa aende polisi, sio kumdhalilisha mtandaoni, ni kosa kisheria. (Innocent untill proven guilty in a court of law)
Sasa nimepata undani kidogo engineer Nadhani pia nitamshauri awe makini
 
Kama anadaiwa, fresh tuuu, Pesa ni ngumu halafu unaona mtu wala hajali kabisa,
Mdeni adaiwe kwa namna yoyote ile halali hata kama itavunja utu...
Umenishangaza mkuu kwa Sheria ya wapi hiyo.
 
The medicine of loans is to pay
So tell her to pay or you pay for her she wont cone to hide in your house again mr do good for her
 
Alipe tu
Mimi mwenyewe Nataka nimpandie mtu gari MOROGORO nikadai pesa zangu akigoma nampeleka mwanahalisi
 
Mara kadhaa amekuwa akija kujificha kwangu asubuhi sana watu wanaomdai wanakuja kumtafuta kwake.
Mumewe ni dereva wa magari makubwa anasafiri sana.
Hapa kuwa napo makini sana tena sana. Kesi nzito itakunyemelea zaidi ya mikopo take. Wema huponza
 
Back
Top Bottom