Mtu akiwa na umri wa miaka 23 mwenye uzito wa 48.8 kuna tatizo kiafya?

Mtu akiwa na umri wa miaka 23 mwenye uzito wa 48.8 kuna tatizo kiafya?

Habari wanajf wote, Naomba kuuliza mtu akiwa na umri wa miaka 23 na akiwa na uzito wa 48.8 kunatatizo kiafya.
Naomba kujuzwa kitaalamu.

Natanguliza shukurani!
Jinsia yako ni ipi, urefu wako ni upi? Tuanzie hapo kwanza.
 
Back
Top Bottom