Mtu aliyekataa kumuhudumia Mzazi wake hadi anakufa, je, afanye nini ili laana imuepuke?

Mungu mkuu husamehe 7 x 70...amuombe msamaha wake wa pili atasamehewa tu
 
Sahihi
 
Hakuna laana yoyote Ile hizo ni fikra potofu tu binadamu tu nadanganywa. Kafa yeye hujamuua nakumsaidia mtu au kutokumsaidia ni uamzi wako nahakuna kitakachokupata hata usipowasaidia
Una akili kweli?hujui kama kuna wakati mama yako alikuwa hapati usingizi kwa ajili yako?au alikuwa akipata chakula kidogo anaona heli alale njaa wewe ule?ogopa sana laana hasa kwa mzazi wa kike
 
Mpaka anakuwa chizi tayari ni laana unataka impate laana ipi tena?
 
Mpaka anakuwa chizi tayari ni laana unataka impate laana ipi tena?
Laani kutoka kwa nani ?

Kwahio mtu kuzaliwa Chizi nani kamlaani ?

Mtu aki-abuse drugs nani kamlaani ?, Unajilaani mwenyewe kwa either kwa your deeds au second guessing yourself
 
Hakuna mahali pameandikwa usipomuhudumia mzazi wako utalaaniwa .

Waafrika tumeendekeza imani potofu ndio maana hatuwezi kujitegemea.

Huyo mzazi kipindi chake alikua wapi asitafute hela na mali tena kipindi hiko ilikua nafuu kujipatia mali tofaut na sasa , ambapo mali hizo angerithisha wanae leo wamtunze.

Utegemezi umeanza mbalii kwenye mizizi ya koo zetu tuachane na hili swala.

Laana zipo ila haziwez mfikia mtu wa namna hio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…