Mtu aliyelaaniwa kuishi hadi kiama

Mtu aliyelaaniwa kuishi hadi kiama

KijanaHuru

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2017
Posts
1,822
Reaction score
2,320
Habari Wana JF
Nilipenda sana huu uzi ukae jukwaa la Jamii Intelligence
Lakini nimeshindwa kutokana na matatizo tunayofanyiwa kule kila uzi ukiuweka unakuwa sio approved na ukizingatia uzi unakuwa hauna shida yoyote, basi wacha tukutane hapa hapa tu.

Sasa naendelea na hoja

kama kichwa akinavyoeleza hapo juu, hii nikutokana na maneno aliyoyazungumza Yesu Kristo kutoka vitabu vya dini na baadhi ya vitabu vya kihistoria, japo watu wanaweza jiuliza kwanini nimesema laana? kwasababu kushi kwa muda mrefu namna hiyo sijaona kama ni baraka pia ukilinganisha na ile laana aliyopewa kaini katika kitabu cha mwanzo japo unaweza kuwa na hoja na mawazo tofauti tukajua tunafikia mwafaka upi
naweka nuu hapa chini

→As Jesus sank beneath the load, He turned his pitying eye to the unfeeling child of Israel, and, pointing up on high, said, “yes, I go for it needs must be, but until I do return, thou must go, to and fro…” (Eugene Sue, 1881)
Matthew 16: 28 which reads: “Truly I say to you, there are some of those who are standing here who will not taste death until they see the Son of Man coming in His kingdom"
Mathayo 16: 28 Inasema "..Kwa kweli ninawaambia kwamba kuna baadhi ya wale waliosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe kabla ya kumwona Mwana wa binadamu akija katika Ufalme wake.

wanderingjew.jpg

Unaweza kusoma kitabu chochote cha biblia kifungu hicho na ukakuta maana hiyo
Msingi wa kifungu hicho nikwamba Neno linasema Yesu alikuwa anawaambia huku akionyesha yakuwa mlengwa yupo hapo hapo walipokuwa wamesimama na inaonyesha sasa toka miaka hiyo hadi leo huyo mtu anaishi maana bado kiama hakijafika.

Japo kuna baadhi ya watu wajaribu kusema ni Kaini yule ndugu yake na Habili ambaye alimuua ndugu yake na wengine wamekuwa na maoni tofauti tofauti na hayo.
→Genesis 4:12 says- “When you cultivate the ground, it will no longer yield its strength to you; you will be a vagrant and a wanderer on the earth…”
Ukisoma katika kitabu cha mwanzo hicho hatujaona mahali ambapo Biblia inaeleza yakuwa huyu mtu atabakiwa na laana hiyo kwa muda gani, kwahiyo tunashindwa kuendelea kusema ni Kaini au La!
cainslayingabel.jpg

Basi Leo nimelileta kwenu wana Jamii forum wenye mawazo na maoni na uelewa tofauti tunaweza kusaidiana kujua kama je huyu mtu yupo ama hawa watu wapo hadi leo hiii?

Karibuni Katika Maoni

ANGALIZO
Huu Uzi haupo kukosoa dini ya mtu wala, wala kukebehi, ila ni kwaajili ya kufundishana

Kama utakuwa na imani tofauti ama utakuwa na mtazamo hasi juu ya uzi huu naomba utuachie ambao tunaweza tukajadiri kwa namna ya kujifunza
Pia kwa wale wasioamini katika Mungu huu uzi hauwafai hata kidogo tunaomba mtuachie wengine
Naomba Tuzingatie Haya



Kuna siri gani kwenye Kanisa Katoliki kuhusu Miracle Hunter?
 
Habari Wana JF
Nilipenda sana huu uzi ukae jukwaa la Jamii Intelligence
Lakini nimeshindwa kutokana na matatizo tunayofanyiwa kule kila uzi ukiuweka unakuwa sio approved na ukizingatia uzi unakuwa hauna shida yoyote, basi wacha tukutane hapa hapa tu.

Sasa naendelea na hoja

kama kichwa akinavyoeleza hapo juu, hii nikutokana na maneno aliyoyazungumza Yesu Kristo kutoka vitabu vya dini na baadhi ya vitabu vya kihistoria, japo watu wanaweza jiuliza kwanini nimesema laana? kwasababu kushi kwa muda mrefu namna hiyo sijaona kama ni baraka pia ukilinganisha na ile laana aliyopewa kaini katika kitabu cha mwanzo japo unaweza kuwa na hoja na mawazo tofauti tukajua tunafikia mwafaka upi
naweka nuu hapa chini

→As Jesus sank beneath the load, He turned his pitying eye to the unfeeling child of Israel, and, pointing up on high, said, “yes, I go for it needs must be, but until I do return, thou must go, to and fro…” (Eugene Sue, 1881)
Matthew 16: 28 which reads: “Truly I say to you, there are some of those who are standing here who will not taste death until they see the Son of Man coming in His kingdom"
Mathayo 16: 28 Inasema "..Kwa kweli ninawaambia kwamba kuna baadhi ya wale waliosimama hapa ambao hawataonja kifo kamwe kabla ya kumwona Mwana wa binadamu akija katika Ufalme wake.

View attachment 932776
Unaweza kusoma kitabu chochote cha biblia kifungu hicho na ukakuta maana hiyo
Msingi wa kifungu hicho nikwamba Neno linasema Yesu alikuwa anawaambia huku akionyesha yakuwa mlengwa yupo hapo hapo walipokuwa wamesimama na inaonyesha sasa toka miaka hiyo hadi leo huyo mtu anaishi maana bado kiama hakijafika.

Japo kuna baadhi ya watu wajaribu kusema ni Kaini yule ndugu yake na Habili ambaye alimuua ndugu yake na wengine wamekuwa na maoni tofauti tofauti na hayo.
→Genesis 4:12 says- “When you cultivate the ground, it will no longer yield its strength to you; you will be a vagrant and a wanderer on the earth…”
Ukisoma katika kitabu cha mwanzo hicho hatujaona mahali ambapo Biblia inaeleza yakuwa huyu mtu atabakiwa na laana hiyo kwa muda gani, kwahiyo tunashindwa kuendelea kusema ni Kaini au La!
View attachment 932778
Basi Leo nimelileta kwenu wana Jamii forum wenye mawazo na maoni na uelewa tofauti tunaweza kusaidiana kujua kama je huyu mtu yupo ama hawa watu wapo hadi leo hiii?

Karibuni Katika Maoni

ANGALIZO
Huu Uzi haupo kukosoa dini ya mtu wala, wala kukebehi, ila ni kwaajili ya kufundishana

Kama utakuwa na imani tofauti ama utakuwa na mtazamo hasi juu ya uzi huu naomba utuachie ambao tunaweza tukajadiri kwa namna ya kujifunza
Pia kwa wale wasioamini katika Mungu huu uzi hauwafai hata kidogo tunaomba mtuachie wengine
Naomba Tuzingatie Haya



Kuna siri gani kwenye Kanisa Katoliki kuhusu Miracle Hunter?
Ngoja niwahi siti mapemaa
Nitarudi kujadili kesho ngoja nilale

Tuombe uzima.
 
Kama Biblia inasema watu, kwanini kichwa cha habari kiseme ni mtu? Hapo tayari ni kuanza kutafsiri au kupunguza maana ya neno la msingi kama lilivyoandikwa.
makosa ya uandishi tu mkuu lakini kiini cha mada husika bado kipo pale pale nini mawazo yako?
 
Biblia ni story za kusadikika kama Alfa Lela Ulela mkuu wala usichukulie serious kiivyo.
Umenena kweli kwa mtazamo na ukomo wa fikra zako, kumbuka pia nimetoa angalizo kwa wale ambao hawako binded na haya mambo kuwa hapa hapawafai
nadhani sio kila mahali unapaswa kutoa maoni, pia huko nikukebehi na kukejeri dini na imani ya watu wengine,
Kila mtu anahaki ya kuamini na kufuata kile anachona nisawa kwake pasipo kuleta makwazo kwa wengine, ni vyema mambo mengine kuwaachia wanaohusika nayo sio lazima mchango wako chaliifrancisco
 
Umenena kweli kwa mtazamo na ukomo wa fikra zako, kumbuka pia nimetoa angalizo kwa wale ambao hawako binded na haya mambo kuwa hapa hapawafai
nadhani sio kila mahali unapaswa kutoa maoni, pia huko nikukebehi na kukejeri dini na imani ya watu wengine,
Kila mtu anahaki ya kuamini na kufuata kile anachona nisawa kwake pasipo kuleta makwazo kwa wengine, ni vyema mambo mengine kuwaachia wanaohusika nayo sio lazima mchango wako chaliifrancisco
Mchango wangu ni muhimu mkuu. Huwezi kujua utawakomboa watu wangapi kifikra.

Sijakebehi wala kudharau imani ya mtu. Nimetoa maoni yangu tu mkuu.
 
Mchango wangu ni muhimu mkuu. Huwezi kujua utawakomboa watu wangapi kifikra.

Sijakebehi wala kudharau imani ya mtu. Nimetoa maoni yangu tu mkuu.
Biblia ni story za kusadikika kama Alfa Lela Ulela mkuu wala usichukulie serious kiivyo[/QUOTE said:
↑↑↑↑↑
Huwezi kusema Biblia ni story wakati wenye imani tunaelewa ni jambo la kweli, unaweza kuleta matizo ya kifikra kwa ambao ni wachanga kiimani lakini zaidi unaweza kuwapotosha kabisa na pia jambo ambalo analiami mtu ukisema ni jambo la kusadikika wala halipo basi ni kebehi mojawapo.
Ndio maana nimetoa angalizo kwa ambao hawaamini katika Mungu huu uzi sio wakwao?
Unapokuwa mwanaume haina maana kila mwanamke atakuwa wakwako kumbuka kuna wanaume wengine vivyo hivyo katika imani si kila mtu atakuwa nauamini wako kila mtu anahaki juu ya imani yake
Naomba tuishie hapa mkuu kama unaona sio kebehi basi jua bado kauli yako sio nzuri
 
Hao watu au huyo mtu hana ndugu yoyote hapa duniani aliyetokana na kizazi chake hadi leo ili atuthibitishie kama ana babu yake ambaye amekuwa akiishi tangu takribani miaka 2000 iliyopita? Kama hakuna ndugu yake wa hivyo nani mwingine wa kutupa jibu la uhakika? Ndiyo maana mimi kwenye biblia mkazo wangu upo zaidi kwenye zile amri kumi tu basi na mengine yaliyobaki uwa hayanipi shida sana.
 
Usitumie ukristo kupamba mavi maua
Shida unaona kama Ukristo ni utakatifu na unasahau Mkristo ndiye anaweza kuwa mtakatifu na Ukristo ukakosa utakatifu
Pia ukiona hoja zinakuzidi uwezo usipende kukurupuka kujibu maana ukomo wa mawazo yako na fikra zako wengne wanazidi hapo
ndio maana si kila mtu kaweka maoni kama yakwako hapa.
kurlzawa "basi jiangalieni sana jinsi mnavyoenenda sikama..............."
 
Hao watu au huyo mtu hana ndugu yoyote hapa duniani aliyetokana na kizazi chake hadi leo ili atuthibitishie kama ana babu yake ambaye amekuwa akiishi tangu takribani miaka 2000 iliyopita? Kama hakuna ndugu yake wa hivyo nani mwingine wa kutupa jibu la uhakika? Ndiyo maana mimi kwenye biblia mkazo wangu upo zaidi kwenye zile amri kumi tu basi na mengine yaliyobaki uwa hayanipi shida sana.
Jambo jema mkuu
 
Umeandika taarab u tupu
Shida unaona kama Ukristo ni utakatifu na unasahau Mkristo ndiye anaweza kuwa mtakatifu na Ukristo ukakosa utakatifu
Pia ukiona hoja zinakuzidi uwezo usipende kukurupuka kujibu maana ukomo wa mawazo yako na fikra zako wengne wanazidi hapo
ndio maana si kila mtu kaweka maoni kama yakwako hapa.
kurlzawa "basi jiangalieni sana jinsi mnavyoenenda sikama..............."
 
Hivi vitabu vitakatifu...vinataka hekima sana kuvielewa...

Imeandikwa ...kila nafsi itaonja mauti..sasa hawa sijui inakuwaje au watakufa baada ya Masih kuja??
Na kama WaPo ina maana ni uyahudini..swali hapa ni mbona haijawahi sikika kama kuna watu wana miaka zaidi ya 2000 na bado wanaishi??..
Au ndio wale tukaambiwa.. wanabadili miili tu ila roho ni zile zile...na maanisha ile bloodline maarufu duniani!
 
Back
Top Bottom