Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna maendeleo bila uchokozi.Kiranga wacha uchokozi
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe basi sawa. Wewe ukifa utazikwa kwa Tamaduni ganiHakuna maendeleo bila uchokozi.
Hata Chuo Kikuu wasomi wanapata elimu kwa maswali ya uchokozi.
Eliya alirudi duniani kama Yohana akafaAsanthe Dinnah kwa ufafanuzi sasa nautumia msitari wako
""Amin,nawaambieni,pana watu katika hawa wasimamao hapa,ambao hawataonja mauti kabisa,hata watakapomwona mwana wa Adamu akija katika ufalme wake"".
Rudia kidogo kupitia maneno nilliyoyafanyia wino mzito Yesu wakati huo alikuwa anaongea kipindi ambacho Elia tayari yupo Mbinguni maana alikuwa amekwisha ondoka miaka mingi iliyopita, watu waliokuwa wanaambiwa mamneno hayo Elia hakuwepo miongoni mwao, kwahiyo sidhani kama hapo alikuwa ni Elia ambaye alikuwa anazungumziwa na habari za Elia zinafuatia mlango wapili ambapo alikuwa ameenda milimani kusali walitokea Elia Na Musa
Kwahiyo bado swali likopalepale hata akiwa ni Elia kumbuka bado Yesu hajarudi sasa Elia kamuonaje akirudi na utukufu wake?
Ukisoma katika 2Wafalme 2:1-15 hapo ni habari ya Elia na Elisha mwisho wassiku msitari wa 15 unaona Neno linasema watu wakasema roho ya Elia imebaki juu ya Elisha wakamfuata wakamwinamia hata ardhi.
sasa unataka kuniambia kuwa roho inakuwa inarithishwa?
bado kuna kitu kinapelea hapo
Kivipi Mkuu?
Mkuu mimi siwezi kutag uzi hapa ningetag uthibitisho nilioandikaKivipi Mkuu?
Unawezaje kuthibitisha hiloo?