Mtu aliyelaaniwa kuishi hadi kiama

Haya Maandiko kweli yanahitaji Hekma kuyaelewa, zaeni mkaongezeke mkaijaze Dunia, na kila nafsi itaonja almaut
 
Hakuna maendeleo bila uchokozi.

Hata Chuo Kikuu wasomi wanapata elimu kwa maswali ya uchokozi.
[emoji23][emoji23][emoji23] kumbe basi sawa. Wewe ukifa utazikwa kwa Tamaduni gani
 
Eliya alirudi duniani kama Yohana akafa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…