Hizbolah ni freedom fighters ... hamas ni freedom fighters ... ni magaidi mbele ya macho ya makafiri na Jews tu. ..
You are right on this specific quote,lakini ondoa hilo neno 'makafiri'.
This world is full of fiction.We are not civilized yet unless we take MONEY out of equation.Sipendi kuona hiki kinachotokea sasa duniani.Kuhusu suala la ugaidi,lina maana nyingi kutegemea na perception ya mtu.Gaidi kwa mtu mmoja anaweza kuwa shujaa kwa mwingine na kinyume chake.Pia unaweza kumuona gaidi kwa mwingine kama shujaa kwako lakini pia ukadanganyika na muonekano huo,hii inategemea na uelewa wa mtu kuhusu mambo yanayoendelea katika dunia hii.Angaline mlinganyo huu hapo chini;
1.HEZBOLLAH:Ni kikundi/wapiganaji kinachounga mkono wapalestina/Hamas.
Kuna watu wanawachukulia hawa kwamba wanapigania dini.Hezbollah sasa wanapigana Syria kumtetea Bashar al-Assad.
2.ALQAEDA:Ni kikundi/wapiganaji.
Kuna watu wanawachukulia hawa kwamba wanapigania dini.Alqaeda ni moja ya kikundi kinachopigana Syria ili kumng'oa Bashar al-Assad.
Kutokana na hypothesis ya hapo juu inaonekana kwamba HEZBOLLAH na ALQAEDA wanapingana na kupigana.Hivyo dhana ya kutetea dini inaleta mashaka hapo.Sasa tujiulize,Hezbollah ni gaidi kwa nani na ni shujaa kwa nani pale Syria?Pia Alqaeda ni gaidi kwa nani na ni shujaa kwa nani pale Syria?
If you follow the MONEY you will get an answer.The only solution to getting rid of all these chaos is RESOURCE BASED ECONOMY after taking MONEY out of equation.This is real human civilization,under this system of life,all what we appreciate now such as FORBES,ADVANCED WEAPONS,SOLDIERS and MONEY will be useless and kept in memorial centers for our children to use on learning about the history of their uncivilized ancestors.