Uchaguzi 2020 Mtu ambaye Wanadamu hawakutaka aishi, lakini leo hii Mtu huyu anakwenda kuwa Mgombea wa Urais. Jambo hili lina maana gani?

Uchaguzi 2020 Mtu ambaye Wanadamu hawakutaka aishi, lakini leo hii Mtu huyu anakwenda kuwa Mgombea wa Urais. Jambo hili lina maana gani?

Ukimsikiliza Tundu Lissu anaongea zaidi kwa huzuni kuliko hasira sio kama anavyofanya mpinzani wake meko.

Tundu Lissu anaendelea KUSEMA Watanzania wamepoteza maisha yao na kazi zao:kutokana na rais ambaye hasemeleki hataki kukosolewa, analaumu wengine, anakataa ushirikiano na mpenda chuki.

Yani Jiwe ana characters za ajabu sijawahi kuona. Na sikutegemea kama ndio yuko hivi?! Alijua kutufool mtu huyu. Sasa sitakagi hata kumsikia kokote.
 
Hili ndio swali ambalo kila mtu mwenye kufikiri na kuwaza kwa mapana anapaswa kujiuliza.

Yaani Wanadamu wanapanga kukua, na sio kupanga kukuua tu, bali inadaiwa walipanga hata msiba huo na mazishi yake yaweje, lakini Mungu akaingilia kati na kumuokoa muhusika, na leo hii mtu huyo anakuwa Mgombea wa Uraisi

Je, ni hivi hivi tu au kuna kusudio la Mungu nyuma yake?

Tuache muda utajibu, ingawa wengi ni wagumu kusadiki kama walivyokuwa wagumu kusadiki kwamba angerejea nchini.

Wanadamu ndio mjue kuna mwenye mamlaka kuwazidi, na anaendelea kuwaonyesha kuwa yeye ni alpha na omega.
Tushasema mara kadhaa , labda turudie tena , ni hivi , Hakuna mahali popote katika dunia hii ambako Shetani aliwahi kumshinda Mungu
 
Yani Jiwe ana characters za ajabu sijawahi kuona. Na sikutegemea kama ndio yuko hivi?! Alijua kutufool mtu huyu. Sasa sitakagi hata kumsikia kokote.
Kama unamsikiliza Tundu Lissu kwenye mikutano utaamini ya kwamba Lissu ni mtu mwenye kuongea kwa utulivu na unaweza kumuelewa vizuri

TunduALissu anasema Kila kitu kinawezekana na huu ni wakati wetu.

Uonevu wa maccm SasaBasi tusifanye tena makosa yaliyofanywa miaka 59 iliyopita

#VOTEFORLISSU
 
Back
Top Bottom