Ukimsikiliza Tundu Lissu anaongea zaidi kwa huzuni kuliko hasira sio kama anavyofanya mpinzani wake meko.
Tundu Lissu anaendelea KUSEMA Watanzania wamepoteza maisha yao na kazi zao:kutokana na rais ambaye hasemeleki hataki kukosolewa, analaumu wengine, anakataa ushirikiano na mpenda chuki.
Tushasema mara kadhaa , labda turudie tena , ni hivi , Hakuna mahali popote katika dunia hii ambako Shetani aliwahi kumshinda MunguHili ndio swali ambalo kila mtu mwenye kufikiri na kuwaza kwa mapana anapaswa kujiuliza.
Yaani Wanadamu wanapanga kukua, na sio kupanga kukuua tu, bali inadaiwa walipanga hata msiba huo na mazishi yake yaweje, lakini Mungu akaingilia kati na kumuokoa muhusika, na leo hii mtu huyo anakuwa Mgombea wa Uraisi
Je, ni hivi hivi tu au kuna kusudio la Mungu nyuma yake?
Tuache muda utajibu, ingawa wengi ni wagumu kusadiki kama walivyokuwa wagumu kusadiki kwamba angerejea nchini.
Wanadamu ndio mjue kuna mwenye mamlaka kuwazidi, na anaendelea kuwaonyesha kuwa yeye ni alpha na omega.
" Nikiwa Rais mtalimia meno "Yani Jiwe ana characters za ajabu sijawahi kuona. Na sikutegemea kama ndio yuko hivi?! Alijua kutufool mtu huyu. Sasa sitakagi hata kumsikia kokote.
Kama unamsikiliza Tundu Lissu kwenye mikutano utaamini ya kwamba Lissu ni mtu mwenye kuongea kwa utulivu na unaweza kumuelewa vizuriYani Jiwe ana characters za ajabu sijawahi kuona. Na sikutegemea kama ndio yuko hivi?! Alijua kutufool mtu huyu. Sasa sitakagi hata kumsikia kokote.
Yule bwana alie ingilia mission ile kujifanya bingwa wa kulenga shabaha kuacha urc kwenda Dodoma ndiye wa kulaumiwaWauaji wake wanaona aibu kubwa sn na damu ya jamaa inawatesa vibaya sn
Pamoja na baba ake anashangaa mission haikufanikiwaYule bwana alie ingilia mission ile kujifanya bingwa wa kulenga shabaha kuacha urc kwenda Dodoma ndiye wa kulaumiwa