lukelo sakafu
JF-Expert Member
- Feb 19, 2015
- 2,938
- 517
wakuu hivi inakuaje msanii anabeba tuzo kibao kwa kutegemea mziki wa playback tu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Natabiri hoja hii kuibua malumbano makali.
Badala ya watu kujadili kilicholetwa hapa mbele yetu.
wakuu hivi inakuaje msanii anabeba tuzo kibao kwa kutegemea mziki wa playback tu?
its depend ni tuzo gan...pia sababu iliyofanya awe winner...nachofahamu show za msanii na tuzo ni vitu viwili tofauti...
1st may....vipi ushafanya booking lakini???wakuu hivi inakuaje msanii anabeba tuzo kibao kwa kutegemea mziki wa playback tu?
wakuu hivi inakuaje msanii anabeba tuzo kibao kwa kutegemea mziki wa playback tu?
wakuu hivi inakuaje msanii anabeba tuzo kibao kwa kutegemea mziki wa playback tu?
wakuu hivi inakuaje msanii anabeba tuzo kibao kwa kutegemea mziki wa playback tu?
wakuu hivi inakuaje msanii anabeba tuzo kibao kwa kutegemea mziki wa playback tu?
wakuu hivi inakuaje msanii anabeba tuzo kibao kwa kutegemea mziki wa playback tu?
1st may....vipi ushafanya booking lakini???
Naomba unitajie tuzo zinazo tolewa kwa kuzingatia muziki wa live!
Hakuna tunzo inayo tolewa kwa kuangalia muziki unapigwaje!
huyu si unajua huwa anarukaruka tu kama maharage huwa hajibu....nnachompendea sakafu kila siku lazma ampe promo dai humu yani anamfanya kila siku tumuongelee mi napenda kwa kweliLol yaani mie ndio nimeingia humu now, swali zuri umemuuliza.
Asikuambie mtu Paula... playback haiepukiki na wala haitakuja kufutika unless aina ya utengenezaji wa muziki ibadilike. Na hii si kwa Tanzania tu bali hata kwenye mataifa mengine; na hata huko US bado mpaka kesho wapo watu kibao tu na matamasha kibao tu ambayo watu wanatumia playback kwahiyo ni kichekesho cha mwaka msanii yeyote ambae utengenezaji wa muziki wake unaanzia studio halafau akasema hatatumia tena playback! Na moja ya mijadala ya kimuziki duniani ambayo bado hadi leo haijapata consensus ni suala la which's which kati ya Playback na Live Performance! Kuna watu kibao ambao wanaamini aina fulani ya muziki ukifanya live performance unashindwa kuipata taste yake... na hii ni ile aina ya muziki ambayo huanzia studio na kwenda kwa mlaji!kwa ninavyoona mimi sisi kama Tz bado hatujafikia level ya kupiga mziki wa live hasa kwenye majukwaa ya wazi, hatujawa na uwezo wa kumiliki vyombo hivyo bado
huyu si unajua huwa anarukaruka tu kama maharage huwa hajibu....nnachompendea sakafu kila siku lazma ampe promo dai humu yani anamfanya kila siku tumuongelee mi napenda kwa kweli