Mtu anakufa na vyake! Leo hii magari ya Kanumba hakuna hata moja hadi mama anapanda bajaji

Mtu anakufa na vyake! Leo hii magari ya Kanumba hakuna hata moja hadi mama anapanda bajaji

Kasinja jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2017
Posts
1,034
Reaction score
1,812
Baada ya kutoka mahakamani amesikika akiulizwa mama una gari akasema akha tunapanda bajaji

Hii kesi naona bora ingefutwa tu

Pili.lulu kakosea sana angejaribu kuweka ukaribu na mama kanumba,

Tatu angekuwa anafanya maendeleo yake kimya kimya bila social media kwa sana,

Alafu watanzania wanafiki sana leo hii wanajifanya kuwa na huruma na lulu wakati walimponda sana kipindi cha msiba,



 
Magari sio...kama huna uwezo wa kuyamudu bora uuze. Sina hamu prado ilivonila hela afu ukizingatia misele yenyewe ya town tu..kitu cc 2500 turbo afu ikafa master cylinder ikanila laki 8 ya fasta...hapo turbo haijafa..nimerudi zangu kwenye subaru..ila maza kakosea hata vits?
 
Magari sio...kama huna uwezo wa kuyamudu bora uuze. Sina hamu prado ilivonila hela afu ukizingatia misele yenyewe ya town tu..kitu cc 2500 turbo afu ikafa master cylinder ikanila laki 8 ya fasta...hapo turbo haijafa..nimerudi zangu kwenye subaru..ila maza kakosea hata vits?
Prado gari za wakinga wew bora hata hiyo gari ya kimjini mjini
 
Magari sio...kama huna uwezo wa kuyamudu bora uuze. Sina hamu prado ilivonila hela afu ukizingatia misele yenyewe ya town tu..kitu cc 2500 turbo afu ikafa master cylinder ikanila laki 8 ya fasta...hapo turbo haijafa..nimerudi zangu kwenye subaru..ila maza kakosea hata vits?
Ha ha ha ha haaaaa... Master cylinder laki 8? Hilo siyo gari zuri kwa usawa huu kwakweli, hata master cylinder ya scania haiuzwi hivyo! Though hata hiyo Subaru bado iko juu, turbo ya mtumba laki 8, taa laki 8.. Service ya oil tu iko juu...
 
1. Where there is evidence of a fight it is not safe to infer malice aforethought. In this regard, it will always be safe to ground a conviction of manslaughter instead of murder.
2. Death resulting from a fight- see also Juma G. Timbulu v R, Criminal Appeal No. 27 of 1991 and Moses Chichi v R, [1994] TLR 222 on the issue.-
 
Magari sio...kama huna uwezo wa kuyamudu bora uuze. Sina hamu prado ilivonila hela afu ukizingatia misele yenyewe ya town tu..kitu cc 2500 turbo afu ikafa master cylinder ikanila laki 8 ya fasta...hapo turbo haijafa..nimerudi zangu kwenye subaru..ila maza kakosea hata vits?
Umeanza vizur ukaishia kuponda[emoji4]
 
Ha ha ha ha haaaaa... Master cylinder laki 8? Hilo siyo gari zuri kwa usawa huu kwakweli, hata master cylinder ya scania haiuzwi hivyo! Though hata hiyo Subaru bado iko juu, turbo ya mtumba laki 8, taa laki 8.. Service ya oil tu iko juu...
Hapana mkuu mi subaru nilonayo haina turbo...
 
Baada ya kutoka mahakamani amesikika akiulizwa mama una gari akasema akha tunapanda bajaji

Hii kesi naona bora ingefutwa tu

Pili.lulu kakosea sana angejaribu kuweka ukaribu na mama kanumba,

Tatu angekuwa anafanya maendeleo yake kimya kimya bila social media kwa sana,

Alafu watanzania wanafiki sana leo hii wanajifanya kuwa na huruma na lulu wakati walimponda sana kipindi cha msiba,




Kweli kiongozi...huyu dogo angetulia tu na maisha yake,mambo ya media na kujipatia umaarufu angetupilia mbali angalau hata kwa miaka 10....zen ndio tumuone tena kweny media,hii ingesaidia kwa famailia ya kanumba kusahau na hata kufutilia mbali kesi hiyo.....lkn kwa jinsi anavyokula bata na kila siku anasikika mitandaoni hii itamgharimu sana kushinda hyo kesi.
 
Kweli kiongozi...huyu dogo angetulia tu na maisha yake,mambo ya media na kujipatia umaarufu angetupilia mbali angalau hata kwa miaka 10....zen ndio tumuone tena kweny media,hii ingesaidia kwa famailia ya kanumba kusahau na hata kufutilia mbali kesi hiyo.....lkn kwa jinsi anavyokula bata na kila siku anasikika mitandaoni hii itamgharimu sana kushinda hyo kesi.
Familia ya Kanumba sidhani kama ina uwezo wa kuifuta hii kesi. Ninavyojua kesi za hivi na za ubakaji zinakuwa serikali vs mtuhumiwa..
 
Back
Top Bottom