Kasinja jr
JF-Expert Member
- Aug 4, 2017
- 1,034
- 1,812
Baada ya kutoka mahakamani amesikika akiulizwa mama una gari akasema akha tunapanda bajaji
Hii kesi naona bora ingefutwa tu
Pili.lulu kakosea sana angejaribu kuweka ukaribu na mama kanumba,
Tatu angekuwa anafanya maendeleo yake kimya kimya bila social media kwa sana,
Alafu watanzania wanafiki sana leo hii wanajifanya kuwa na huruma na lulu wakati walimponda sana kipindi cha msiba,
Hii kesi naona bora ingefutwa tu
Pili.lulu kakosea sana angejaribu kuweka ukaribu na mama kanumba,
Tatu angekuwa anafanya maendeleo yake kimya kimya bila social media kwa sana,
Alafu watanzania wanafiki sana leo hii wanajifanya kuwa na huruma na lulu wakati walimponda sana kipindi cha msiba,