Mtu anakufa na vyake! Leo hii magari ya Kanumba hakuna hata moja hadi mama anapanda bajaji

Waligombana nakumbuka mpaka kusema lulu hamsaidii kwa chochote yaan lulu hajui tu mambo ya mitandaoni angeachana nayo kabisa kama kupost apost mambo ya kazi zake za film tu huyu mama bado ana duku duku nae
Hawezi kuishi bila kiki na show off hata leo mahakamani kila mtu na lake
Mama lulu hana sauti kwa mwanawe ht kumshauri
 
Hii sasa n misifa, ongera kwa kuendesha prado
 
Kesi kama hizi ni kupotezeana mda tu.... Nimeskiliza ushahidi wa mdogo wake Kanumba, nikaona huyo jamaa na huo ushahidi wake alio upeleka mahakani leo, nimemwona jamaa ni bogus
Sa afanyaje.... ???
 
Kwani kesi imefufuliwa na nani?mama Kanumba au selikari
 

Yaani hapa ume assume kua sisi wote wanasheria eti?
 
Waliompa kanumba wameshachukua vya kwao hawakuwa na mkataba na huyo mama. Mnamlaumu bure. Hata ungepewa wewe usingebaki navyo
 
Kesi kama hizi ni kupotezeana mda tu.... Nimeskiliza ushahidi wa mdogo wake Kanumba, nikaona huyo jamaa na huo ushahidi wake alio upeleka mahakani leo, nimemwona jamaa ni bogus
Kwan kasemaje kaka
 
Hawawezi kufuta hii kesi ni lulu Vs jamhuri mkuu na sio familia ya kanumba
 
Wasanii wengi hawana ela. Wanaishi maisha ya showoff. Unaweza kukuta Kanumba hakuwa na gari hata moja, zote alikuwa anaazima...

Same as Diamond. Unaweza kukuta hana ela kama anavyojishow... Au Masanja Mkandamizaji
Usitudanganye aisee kuna wasanii wana hela kama mondi,vitu anavyofanya vinaonekana waziwazi wataka utudanganye kitoto hapa? hebu fatilia mikataba yao vizuri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…