GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
- #21
Akishatema mate na kurelax na ghafla akatokea adui, bado atakuwa na uwezo wa kujitetea? Hatakuwa ameshafilisika silaha (sumu) kutokana na matumizi mabaya?Hujiulizi kwanini NYOKA anatema mate ovyo au kugonga sehem mbalimbali..
Na akifanya hivyo ana relax kwa muda..?
Kadhalika, mtu anayechokoneka kirahisi hisia zake, Kisaikolojia, anahesabiwa kuwa ni mdhaifu sana.
Ustaarabu unapimwa na kiwango cha mtu kuweza kutawala hisia zake.
Ikiwa hawezi, huyo hufananishwa na wanyama wa kawaida.