GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
- Thread starter
-
- #21
Akishatema mate na kurelax na ghafla akatokea adui, bado atakuwa na uwezo wa kujitetea? Hatakuwa ameshafilisika silaha (sumu) kutokana na matumizi mabaya?Hujiulizi kwanini NYOKA anatema mate ovyo au kugonga sehem mbalimbali..
Na akifanya hivyo ana relax kwa muda..?
Ibilisi mwenyeweKuna relief anaipata, ww hujawahi kujikwaa?? Nini kilitokea?? π
Kuna muda tusijifanye watakatifu wakati wote ni mashetani πππ
Inategemea.. kuna Nyoka aina ya BLACK MAMBA yeye ni yupo tofauti kabisa..Akishatema mate na kurelax na ghafla akatokea adui, bado atakuwa na uwezo wa kujitetea? Hatakuwa ameshafilisika silaha (sumu) kutokana na matumizi mabaya?
Kadhalika, mtu anayechokoneka kirahisi hisia zake, Kisaikolojia, anahesabiwa kuwa ni mdhaifu sana.
Ustaarabu unapimwa na kiwango cha mtu kuweza kutawala hisia zake.
Ikiwa hawezi, huyo hufananishwa na wanyama wa kawaida.
Hakuna faida yoyote kumtukana mtu zaidi ya kujiongezea uadui siku Hadi sikuHata kama amekasirishwa, kutukana kutamsaidia?
Nimo kwenye basi naelekea mkoa fulani. Njiani, mama mmoja kapitilizwa na konda kituo alichopaswa kushukia.
Kutokana na kukerwa na hiyo hali, aliposhuka, hakulalama tu, bali pia alisindikiza manung'uniko yake na tusi la nguoni. Alitukana kwa kutaja sehemu za siri za mwanamke.
Kwa kuwa aliyefanya hiivyo ni mwanamke, atakuwa amemtukana konda ambaye ni mwanaume au kajitukana mwenyewe?
1. Kama ni uke, yeye naye anao! Siyo kwamba amejitukana?
2. Hakuna kitu cha ajabu kwa mwanamke kuwa na uke. Kila mwanamke wa kawaida yuko nao. Kulikoni watu wanapokasirika hutumia huo msamiati kama fimbo ya kuwaadhibu waliowakasirisha?
3. Mwanaume anapomtukana mtu mwingine kwa kumtukania sehemu za siri za mama yake, naye si kwamba kajitukana? Kwani yeye mama yake hana?
Huwa nawaona wanaowatukana wenzao kwa kuwatukania sehemu za siri za mama zao kama wana tatizo la kiakili. Huo ndiyo mtazamo wangu.