Mtu anapona ukimwi kwa njia ya miujiza ? Ndiyo.

Wakuu,naongeza changamoto katika suala hili !

Asante sana kwa onesho la video ya shuhuda za waliopona ukimwi na virus moto kwa njia ya uponyaji baada ya maombezi katika jina la Yesu.Kati yao nimeongea nao uso kwa uso !!!
 
Last edited by a moderator:
Picha za shuhuda hizi ni kweli kabisa;kwani nawafahamu ndugu Kapaliswa na mkewe k
 

Utabiri wa Yesu juu ya Manabii wa uongo na dalili za mwisho wa dunia.


Marko, Chapter 13


[SUP]13:5[/SUP] Yesu akaanza kuwaambia, Jihadharini, mtu asiwadanganye.

[SUP]13:6[/SUP] Wengi watakuja kwa jina langu, wakisema, Mimi ndiye, nao watadanganya wengi.

Kitabu cha Mathayo 24:1-5 na Mathayo 24:24-28

1.Yesu akatoka hekaluni na alipokuwa akienda zake, wanafunzi wake wakamwendea ili kumwonyesha majengo ya hekalu.


2.
Ndipo Yesu akawauliza, "Je, mnayaona haya yote? Amin, amin nawaambia, hakuna hata jiwe moja hapa litakalobaki juu ya jingine, kila moja litabomolewa."


3.Yesu alipokuwa ameketi kwenye Mlima wa Mizeituni, wanafunzi wake wakamjia mahali pasipo na watu, wakamwuliza, "Tuambie, mambo haya yatatukia lini, nayo ni nini dalili za kuja kwako na za mwisho wa dunia?


4.
Yesu akawajibu, "Angalieni, mtu asiwadanganye.


5
Kwa maana wengi watakuja kwa jina langu wakidai, ‘Mimi ndiye Kristo, nao watawadanganya wengi.


24.Kwa maana watatokea makristo wa uongo na manabii wa uongo na kufanya ishara kubwa na miujiza mingi ili kuwapotosha, hata ikiwezekana wale wateule hasa. 25Angalieni, nimetangulia kuwaambia mapema.


26."Kwa hiyo mtu ye yote akiwaambia, ‘Yule kule nyikani,’ msiende huko. Au akisema, ‘Yuko kwenye chumba,’ msisadiki.

27Kwa maana kama vile umeme utokeavyo mashariki na kuonekana hata magharibi, ndivyo itakavyokuwa kuja kwake Mwana wa Adamu.

28Kwa maana po pote ulipo mzoga, huko ndiko wakusanyikapo tai.
 
Si jambo la ajabu sasa, watu kuona ukimwi ni Ugonjwa wa kawaida tu!
Tutakiokoaje kizaa hiki na HIV+ ?
CC
@QMan BAK
ekn
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, Orrionorri Je,ugonjwa wa ukimwi katika maombi yenu maalum,umepata nafasi kama Ebola; kwa kuwa ni janga kuu Tz ?
 
Last edited by a moderator:
Wana jamvi ! Dawa za ARVs, zimeleta faida ndogo,kuliko hasara kwa taifa; kwani ongezeko ni kubwa la waathirika wa HIV+ !
 
Leo ni siku ukimwi duniani; hivyo ni vema zaidi kupima kama tuna virus HIV+ na kuchukua hatua stahiki.
JE,UMEPIMA AFYA ?
 
Mapepo machafu yanayojitokeza na dalili zinazofanana na ugonjwa wa UKIMWI, wakati mwingine hadi vipimo vinaonyesha kuwa na maambukizi. Mtu wa aina hii akiombewa na yakiondoka ndiyo tunasema amepona
 
Kwake Yesu kila jambo linawezekana!!!! Amen

Ndio! !
Njia za Mungu hazichunguziki..

Ss watu kwasbb akili na sayansi yao imefika mwisho na Mungu nae wanafikiri amefika mwisho...
Biblia inasema ' kwake Mungu yote yawezekana'full stop haijalishi unaumwa kitu gani....

Nb.magonjwa mengini nguvu za giza.
 

BAK
Inawezekana ukiwa na imani!
 
Reactions: BAK

Ok.
Kumbe shida yako ni mtu mchafu!
Ni kweli tumetenda dhambi!ht biblia inasema ' wote tumetenda dhambi hivyo tumepungukiwa na utukufu'
Bt glory be to God kuna msamaha!
So haijalishi mtu mchafu kiasi gani akiomba toba kwa Mungu anasamehewa!
Hata watumishi wapo hao walio wachafu but kumbuka kuna waliosafi pia!

Hata bibilia imetutahadharisha kuwa watakuja manabii wa uongo , kati ya hao wa ukweli ss kazi ni kwako kuwatambua.
So huwezi kuwa hukumu wote kwasbb ya hao wachafu.wapo ambao Mungu anawatumia na wanajinyenyekeza na hawachukui utukufu na hao ndio Mungu hufanya kazi pamoja nao.

Halafu kuwa.mtumishi sio kuwa masikini !
 
Sawa kabisa kk tatizo shetani anatudanganya na dhambi kumbe yesu alisha kwisha vunja msalabani ndomana ukisoma isaya 53:5 kwa kupigwa kwake sisi tumepona watu hawataki amini hayo yote

Mkuu hivi unafikiri wengine watakuelewa hapa!?
Hawajua kila kitu kinaanzia kwenye ulimwengu wa roho, na mbaya zaid shetani ndo anaujua vzr na kuitumia vzr huu ulimwengu wa roho kuliko wakristo!
Mambo ya rohoni haya!
Na ni Christianity hao eti
they made Jesus unpopular, kutajataja tu kwa jina la Yesu for nothing....ndo hao wanalitukanisha jina la Bwana
 
Kwi kwi kwiii kuna rafiki yangu mmoja alipata UKIMWI kwa njia ya miujiza...nadhani alipona kimiujiza pia!
 
Miujiza inaweza fanya kazi kwa ugonjwa ambao umeingia kwa mtu kimiujiza yaani kwa nguvu za giza, lakini huweze kuombewa ugonjwa ambao umeingia kwa njia ya contact au infections ukapona, haya ombewa upone malaria, Kaswende au Kisnono.
 
Mtu haujui maandiko ya Biblia;wala uweza wake ni kunyamaza !
(MT 22:29)
HAKUNA NENO GUMU KWA MUNGU WA BIBLIA
{YER 32:27}
 
Ebana sisi waafrika bana!!!! Bado safari yetu ndefu sana.
 
Baada ya kuambukizwa hiv muda gani sahihi ukipima vitaoneka mwilini?!
 
He he virusi vya ukimwi kuna kitu kama hicho duniani?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…