Mtu anatekwa Stendi ya Magufuli huku watu wanaangalia? Wananchi tunatakiwa kujitafakari, imekuaje tumekuwa mazombi hivi?

Watanzania ni watu wa kipekee sana. Hapo atapita mwizi wa mchicha fungu moja watapiga waue kabisa ila binadamu anaibwa wanatazama tu. Tupo hivyo.
Ipo hivyo
Haibadiliki damu yetu
100% hasira na vipaumbele vyetu watz kama ilivyo kwa wafrika wote.

Hii Ardhi ina laana
 
Hii ni mzuri, raia lazima wajithamini. Kwasababu wanaochukuliwa sio tu wanasiasa hata wafanyabiashara wadogo na wakubwa.

Nilicheki documentary moja akielezea polisi walishawahi kukaa na mume wake kwa miezi 2 ndiyo wakamuacha, bila ya taarifa. Na hii mara ya mwisho ajarudi tena. Jamaa sio mwanasiasa ni yuko tu kwenye biashara ya uvuvi (Ruvuma kama sikosei)
 
Ukiingilia utendaji wao.....watakuua live....hata kama kikundi kimesaidia mtu wao wakamkosa.....mjipange watarudiii vibaya sanaaa
 
Bunge limefanya mabadiliko ya Sheria yanayolinda maafisa usalama wakifanya jinai wakati wakitekeleza majukumu yao! Wakifanikiwa kukuchukua wanakuwa ni "watu wasiojulikana", ukiwadhibiti au ukiwatambua wanageuka kuwa "maafisa usalama", na hapo kosa unakuwa nalo wewe! Tufuatilie bunge jamani
 
Ukiingilia utendaji wao.....watakuua live....hata kama kikundi kimesaidia mtu wao wakamkosa.....mjipange watarudiii vibaya sanaaa
Mzee bunduki inatisha.....ndip siraha inayoogopwa na Binadamu wote Duniani.
 
Tunakoelekea mwendo utakuwa ni kuwatreat kama wezi watakuja kubeba masalia
 
Ukiingilia utendaji wao.....watakuua live....hata kama kikundi kimesaidia mtu wao wakamkosa.....mjipange watarudiii vibaya sanaaa
Ni mindset tu Mkuu, wezi na majambazi huwa hawana gangs za kuwarudia wananchi, lakini wanashughulikiwa.... wananchi tumesahau nguvu yetu! Unaamini hatuwezi kuwadhibiti hawa wahuni wachache kweli? Na hiki ndio kinawapa nguvu ya kuendelea kufanya wanayofanya
 
Madini haya
 
Ni mindset tu Mkuu, wezi na majambazi huwa hawana gangs za kuwarudia wananchi, lakini wanashughulikiwa.... wananchi tumesahau nguvu yetu! Unaamini hatuwezi kuwadhibiti hawa wahuni wachache kweli?
Wale sio.majambaxi.mkuu naongea nachokijuaa.....wana kinga na ild order halali....sio polisi wale oihhhh wanakuua....kwa interest ya nchi...periodhakuna kuhoji....huyo mzee wa Tanga iko hivyo....hakuna story tena
 
Wale sio.majambaxi.mkuu naongea nachokijuaa.....wana kinga na ild order halali....sio polisi wale oihhhh wanakuua....kwa interest ya nchi...periodhakuna kuhoji....huyo mzee wa Tanga iko hivyo....hakuna story tena
Ndio nimekuuliza unaamini kweli wananchi hatuwezi kushughulika na hao wahuni?
 
Wewe ungefanyaje? Tatizo la hii nchi ni kuwa na Idadi kubwa sana ya Keybord woriour. Tuna Keybord woriou wengi kuliko Taifa lolote lile Duniani.
 
Kenyatta alikuwa sahihi kusema Nyerere anaongoza maiti
Alisema wapi hayo maneno unaweza kunipa ad verbatim..., Na in comparison Kenya na Tanzania utekaji, mauaji na unyangau wapi yametamalaki ? Watu wangekuwa wanamu take to task angeweza kujimilikisha ma Ardhi yeye na vikaragosi vyake ?

Kenya Askari Kanzu kibao mtu anakusimamisha anakuomba kipande (uzuri au ubaya hawakatai rushwa).

That Said.....
 
Ndio nimekuuliza unaamini kweli wananchi hatuwezi kushughulika na hao wahuni?
Mimi nashauri .....tusijatibu tupambane kubadili ile sheria iliyowapa nguvu....kosa likokule .....mazingira kukutesa huwa haraka sana ...na mguvu kubwa.....ukiwa huma mbavu....dak 2 uko ndani gari.....pia its higly timing .....sehemu tulivu kidogoo.....sikia tuuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…