Mtu anatekwa Stendi ya Magufuli huku watu wanaangalia? Wananchi tunatakiwa kujitafakari, imekuaje tumekuwa mazombi hivi?

Mtu anatekwa Stendi ya Magufuli huku watu wanaangalia? Wananchi tunatakiwa kujitafakari, imekuaje tumekuwa mazombi hivi?

Watanzania ni watu wa kipekee sana. Hapo atapita mwizi wa mchicha fungu moja watapiga waue kabisa ila binadamu anaibwa wanatazama tu. Tupo hivyo.
Ipo hivyo
Haibadiliki damu yetu
Wapo bize na simba na yanga, ndio wanaweza kufa nayo sio roho hata ya ndugu yake
 
Wakuu,

Mtu wa pili huyu anatekwa sehemu ambayo kuna watu na hakuna kitu raia tunafanya? Tunasubiri apotee ndio tuje mtandaoni kuanza kulaani na kulisema Jeshi la Polisi, Samia na Serikali yake?!

Pia soma: Breaking News: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulika katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Wana Dar tuna nini? Ndio hatuna umoja kiasi hiki? Hili jambo lingetokea Chuga au sehemu nyingine wangekiwasha hadi kieleweke, na ijulikane hao watu ni akina nani. Walau hata kwa Bonge walijiongeza tukio likarekodiwa, huko watu wamekaa tu kama ndezi.

Wamejaribu kwa bonge wakaona jinsi watu hatuna umoja, leo wakaenda kwa chembamba wamprove kuwa wananchi tupo tupo tu!

Kwanini lakini tunakuwa mazombi hivi?
Shida ya watanzania hatujiamini, ndomana mambo maovu yanaendelea kweny mikudanyiko kama hiyo
 
Wakuu,

Mtu wa pili huyu anatekwa sehemu ambayo kuna watu na hakuna kitu raia tunafanya? Tunasubiri apotee ndio tuje mtandaoni kuanza kulaani na kulisema Jeshi la Polisi, Samia na Serikali yake?!

Pia soma: Breaking News: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulika katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Wana Dar tuna nini? Ndio hatuna umoja kiasi hiki? Hili jambo lingetokea Chuga au sehemu nyingine wangekiwasha hadi kieleweke, na ijulikane hao watu ni akina nani. Walau hata kwa Bonge walijiongeza tukio likarekodiwa, huko watu wamekaa tu kama ndezi.

Wamejaribu kwa bonge wakaona jinsi watu hatuna umoja, leo wakaenda kwa chembamba wamprove kuwa wananchi tupo tupo tu!

Kwanini lakini tunakuwa mazombi hivi?
Tatizo la Dar ni wanaume Biscuit nakumbuka kipindi tupo UDSM tunaandamana na mgomo kutoka Main Campus mpaka Mabibo Hostel watu wanatuangalia kama vile tunataka kupindua nchi.
 
Uantaka kuniambia raia zaidi ya 50 wangebeba .mawe makubwa na mazito na kuanza kurusha unafikir hao mammbwa na mabunduki yao wangebaki , kuna mikoa huwez fanya huo upumbavu eitha utakua marehem ama sanasana gari yako itabaki majivu ..ila dar ni pa kiduwani watu wa huko wanajua kula stareh tu
Sawa Kaka .
Jumapili njema ndugu ,pole kwa yote
 
Kwa mujibu wa mtu aliyeshuhudia tukio hilo, amesema watu walitaka kusogea ila watekaji waliwanyooshea pisto kama wanataka kuwashuti wakaogopa na kurudi nyuma watekaji wakaondoka na gari lao.

Ila anadai kuna kamera pale Magufuli, Mkuu wa kituo atoe picha tuone ni akina nai hao.

Anadai kuna simu na pingu kapewa mkuu wa kituo cha Magufuli vilivyodondoshwa na watekaji so inabidi atuambie ni akina nai hao.
 
Daah hatari sana pana muhuni mmoja yupo Commissioner Street, Johannesburg anasema huko mnakotekana sehemu yeyote tena muda mwingine na vyombo vinavyotambulika kisheria mimi siwezi kurudi maana ntaweza kuua hadharani nikiona mtu anatekwa nimeanza kumuelewa..
 
Wakuu,

Mtu wa pili huyu anatekwa sehemu ambayo kuna watu na hakuna kitu raia tunafanya? Tunasubiri apotee ndio tuje mtandaoni kuanza kulaani na kulisema Jeshi la Polisi, Samia na Serikali yake?!

Pia soma: Breaking News: - Dar: Abdul Nondo amechukuliwa na Watu wasiojulika katika mazingira ya utatanishi Kituo cha Mabasi cha Magufuli

Wana Dar tuna nini? Ndio hatuna umoja kiasi hiki? Hili jambo lingetokea Chuga au sehemu nyingine wangekiwasha hadi kieleweke, na ijulikane hao watu ni akina nani. Walau hata kwa Bonge walijiongeza tukio likarekodiwa, huko watu wamekaa tu kama ndezi.

Wamejaribu kwa bonge wakaona jinsi watu hatuna umoja, leo wakaenda kwa chembamba wamprove kuwa wananchi tupo tupo tu!

Kwanini lakini tunakuwa mazombi hivi?
zindiko la mwenge..!
 
Haya Mambo ya hovyo sana, mmeshindwa kushindana kwa hoja mmebakia kuteka na kuua watu.
 
Bunge limefanya mabadiliko ya Sheria yanayolinda maafisa usalama wakifanya jinai wakati wakitekeleza majukumu yao! Wakifanikiwa kukuchukua wanakuwa ni "watu wasiojulikana", ukiwadhibiti au ukiwatambua wanageuka kuwa "maafisa usalama", na hapo kosa unakuwa nalo wewe! Tufuatilie bunge jamani
Hii ilikuwa mistake ya karne
 
Back
Top Bottom