Mtu anayeelewa hizi takwimu anisaidie kufafanua.

Mtu anayeelewa hizi takwimu anisaidie kufafanua.

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Matokeo ya darasa la saba yanaonyesha wanafunzi walioanza std 1 mwaka 2016 walikuwa 1,38692. Waliosajiliwa kufanya mtihani wa la saba mwaka 2022 ni 1,384,186. Ni kama watoto 2,406 ndiyo walikwama njiani.

Lakini takwimu nyingine zinaonyesha mwaka 2016 Std 1 kulikuwa na watoto 2,120,667. Kwa takwimu hizi maana yake watoto 836,441 waliishia njiani. Anayezielewa atuambie. Maana kama watoto laki nane+ hawamalizi la saba tatizo ni kubwa sana.

IMG_20221202_080001.jpg
IMG_20221202_203857.jpg
IMG_20221202_203902.jpg
 
Huo mwaka ndio mwaka ambao elimu Bure ilitangazwa na DR. JPM, Watoto wengi walijiunga huku wengine wakiwa hata sare au sehemu ya hawana. Baadae viongozi wakaanza vijimichango vya hapa na pale Mara madawati sijui chakula na wakageuza kuwa SIO ELIMU BURE Bali ni ELIMU BILA MALIPO. Kufuatia hayo watoto wengi waliacha na wale wakuchunga walioenda na wale wa mtaani walirudi maana hata Mzee walimzoea Wazazi
 
Huo mwaka ndio mwaka ambao elimu Bure ilitangazwa na DR. JPM, Watoto wengi walijiunga huku wengine wakiwa hata sare au sehemu ya hawana. Baadae viongozi wakaanza vijimichango vya hapa na pale Mara madawati sijui chakula na wakageuza kuwa SIO ELIMU BURE Bali ni ELIMU BILA MALIPO. Kufuatia hayo watoto wengi waliacha na wale wakuchunga walioenda na wale wa mtaani walirudi maana hata Mzee walimzoea Wazazi
Sasa kwanini wasiweke tu kuwa kati ya wale, laki nane waliacha shule?
 
Back
Top Bottom