Bora ist ufanfe uba naumngana na weweKm unaweza pata milion10 ya kununua bajaji kwa nn kwa iyo milion10 usitafte IST,passo, rush ya namba C ama D ukaifanya uber na pia ukaikodisha kwenye harusi na sherehe, misiba
IST,passo / rush inaweza dumu miaka 20 ila bajaji ata uwe mtunzaji vp huwez maliza nayo miaka 7
Kuna wengine washawekeza hizo million 30 na hawana kitu kwaiyo akili anayoBado Hana akili angewekeza hiyo 30m Sasa hivi angekua na pesa nyingi sana sio hizo bajaji 10 ambazo nyingine zishakua mikorosho sababu zimezaliana
Alaf mkataba n miaka miwili na miez kazaa anakuletea 20k hesabu ya haraka unayo faida kubwa ebu mpe elimu huyu mleta madaTupe hesabu zako basi zinazosibitisha uchizi wake??
20,000x365days= 7,300,000 hiyo ni kwa mwaka mmoja.
Sijakuelewa mkuu, unaweza fafanua kuhusu hio hardware ?Ni biashara ya kifala kweli, ila biashara nyingi faida yake ni ndogo pia cha msingi ni mzunguko wa fedha usiende mbali na wewe.
unaijua biashara ya hardware hii ni manyoko usipouza stock kubwa kwa mwezi mmoja tu
Jamaa inaonekana hajakua bado. Mtu mwenye ukomavu wa akili hata uandishi wake unamjua tu. Kila reply anayoandika ni kuweka vicheko tu, si umama huo.Wanawake mna matatizo kweli?
Yaani Mimi kidume muda wa kuweka pesa kwenye akaunti za Vikoba mtandaoni natoa wapi?,niache kuweka pesa benki Kwa ajili ya familia yangu niweke kwenye akaunti ya Vikoba ili nikuonyeshe wewe!,Halafu nikikuonyesha napata faida gani?
Wanawake mna matatizo kweli!
A/.Kwani utakuwa unategemea hiyo bajaji kwa kila kitu?? Hiyo biashara ni ya kuzungusha hela hata kama faida ni sio kihvyoo.
Kuna watu wanalisha familia mbili kwa bajaji mzee, nenda kitaa ujionee!
Kilimo we kisikie tu. Tunatakiwa usiwe mtu wa kukata tamaa.Wakati shamba nkiwekeza 3,000,000/= kilimo cha mpunga sikosi faida ya 7,000,000/= kwa mwaka mmoja
Nao hawana akiliKuna wengine washawekeza hizo million 30 na hawana kitu kwaiyo akili anayo
Eti Kuna faza 😀😀Kuna faza comments za juu kule et kaleta hesabu za kuzidisha sijui 20*365
Ahahahahha kuna watu nikisema kichwani wana maji ya mchele mnakataaa 😄😄😄😄😄😄
Biashara kichaa hiyoHao waliofeli kwenye business ya bajaj walikuwa na mentality kama yako. Kwamba mimi ni boss nitafute mtu aniendeshee chombo.
Kuna teacher mmoja nipo nae kitaa, jamaa amechukua bajaj ya NMB akaingia road ye mwenyewe. Asubuh anaamka mapema anapiga route zake anaunganisha na chombo hadi school, jion akitoka anapiga tena route zake kadhaa anaunganisha home. Walimu wenzake wakat ameanza kwenda na bajaj school walimuona mwehu kwann asingenunua gari, ila sahv wanamuelewa anachofanya. Jamaa halii shida kama walimu wengine. Jamaa ni mwalimu wa primary.
Jamaa ni mteja wangu wa service na anapiga service kwa wakati, chombo yake ni no D zile za mwanzoni ila imesimama kama no E.
Hee ukija kwa waajiriwa sasa ndio mtihani sana.Hizo ni biashara za watu wavivu wasiotaka kuwajibika, ukiwakuta huko makazini wanavyojisifu utaskia
" Nina bajaj yangu nimempa kijana kwa week napata 140k yangu nna wasiwasi gani "
😀😀😀
Njaa inakusumbua hizo ni hasira tu za umasikini 🤣🤣🤣Jamaa inaonekana hajakua bado. Mtu mwenye ukomavu wa akili hata uandishi wake unamjua tu. Kila reply anayoandika ni kuweka vicheko tu, si umama huo.
Biashara kichaa hiyoA/.
Huyu analeta hesabu za darasan ,hiyo ni biashara nzuri tena sana.
Masuala ya risk ni issue za kawaida katika kazi.
B/.
Boss wa bajaj akipewa 20,000 kwa siku kwa mwezi 600,000/=
Toa siku ambazo hakufanya kazi let say siku 4 kwa mwezi,
Bajaj yenyewe ile 100,000/= maana yake ibaki 420,000/=
Let say ibaki 400,000/= kwa mwaka
C/.
Kiuhalisia BAJAJI inaweza kaa hata miaka 10,
Mpaka Leo kuna bajaji namba A ziko barabarani.
Kwa hiyo ndani ya miaka 10 huyu mtu Atakuwa ametoa 48,000/= katika bajaji hiyo.
D/.
Note
Anaweza kujiongeza akakusanya mwaka mmoja akanunua Bajaji used ml.5
Akaifanyia service na ikawa inamuingizia hela , zikawa mbili.
Note.
Ni biashara nzuri sana usimamizi ukiwa mzuri,
Na mfanyakazi wako akawa mzuri.
Ukifanya mwenyewe ni uhakika ndan ya 4yrs ukiwa umetulia unafanikiwa.
Nilifikiria sana hii biashara nikachoka.Tafuta mtu akuuzie akili huna akili
Biashara kichaa hiyo umasikini unakusumbua na masikini hua asikilizwi unapoteza mda tu🤣🤣🤣Sasa moderators labda mtueleweshe
Payge
Active
Sasa mbona kama.hii mada ni ya kukejeli biashara za vijana waliojiajiri na wenye kufanya hii biashara?
Mleta mada mwenyewe hakuna popote ambapo anaongea kwa hoja na lugha za mtu mwenye akili anaejitambua zaidi naona MATUSI FEDHEHA NA KEJELI, mlifanya vyema kuindoa hii mada mwanzon ila nashangaa mmeirudisha tena
Hii mada imeletwa kwa lengo la kukejeli na kudharau biashara za watu ambayo imeweza kuleta positive impact kubwa kwa vijana badala ya kukaa vijiweni na kutukana kuongea ujinga na kuvuta bangi mtu unakua bize na wateja na kujipatia rizki na kipato.
Nilitegemea kungekua na mada ambayo inafundisha labda namna bora zaid ya kufanikiwa kwenye hii biashara, ila naona ni matusi dhihaka na kejeli ,
Hii mada iondolewe au iwe locked.
MODERATORSBiashara kichaa hiyo umasikini unakusumbua
🤣🤣🤣MODERATORS
Sasa mbona kama.hii mada ni ya kukejeli biashara za vijana waliojiajiri na wenye kufanya hii biashara?
Mleta mada mwenyewe hakuna popote ambapo anaongea kwa hoja na lugha za mtu mwenye akili anaejitambua zaidi naona MATUSI FEDHEHA NA KEJELI, mlifanya vyema kuindoa hii mada mwanzon ila nashangaa mmeirudisha tena
Hii mada imeletwa kwa lengo la kukejeli na kudharau biashara za watu ambayo imeweza kuleta positive impact kubwa kwa vijana badala ya kukaa vijiweni na kutukana kuongea ujinga na kuvuta bangi mtu unakua bize na wateja na kujipatia rizki na kipato.
Nilitegemea kungekua na mada ambayo inafundisha labda namna bora zaid ya kufanikiwa kwenye hii biashara, ila naona ni matusi dhihaka na kejeli ,
Hii mada iondolewe au iwe locked.
Payge
Active
Wewe mpaka Leo umewekeza kiasi na umepata kiasi gani?Nao hawana akili
Unaweza ku-survive kwa muda gani iwapo hauuzi mzigo mkubwa kila mwezi?Nipo kwenye hiyo hardware mwaka wa 9 sasa.