Khanji kapoor
JF-Expert Member
- Oct 19, 2024
- 1,198
- 2,695
Kuendesha bajaji barabara kuu Ni sawa na kutembea na mke wa mtuInaategemeana na anyeendesha, bajaji iukiemdesha mwenyewe hela yako i arudi ndani ya miez kadhaa tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuendesha bajaji barabara kuu Ni sawa na kutembea na mke wa mtuInaategemeana na anyeendesha, bajaji iukiemdesha mwenyewe hela yako i arudi ndani ya miez kadhaa tu.
Hamna kitu biashara kichaaBajaj inamaokoto sana
Bora nibet kuliko kumpa mjinga mmoja million 10 atembee nayo roadUoga wako ndio umasikini wako, ukitupia multibet milioni 90 hii hapa unaipata ndani ya siku
View attachment 3173299
Risk kubwa sanaInaategemeana na anyeendesha, bajaji iukiemdesha mwenyewe hela yako i arudi ndani ya miez kadhaa tu.
Uzi wako ungekuwa umeleta maana kama ungekuja na idea yenye mchanganuo yakinifu wapi mtu anaweza kuwekeza akiwa 10m ili aweze kupata faida zaidi ya 20k kwa siku. Ila kwa hii mipasho ulikuja nayo wewe ndio unaonekana hauna akili. Kwa mtazamo wangu ni bora kuwekeza kwenye biashara unayoifahamu vyema hata kama faida yake ni ndogo kuliko kuwekeza kwenye biashara ambayo huifahamu vizuri hata kama unasikia inalipa sana. Biashara inaendana na life style ya mtu, kuna biashara zingine zinahitaji usimamizi wa karibu sana na zingine unaweza kuzifanya bila kuwa karibu sana. Kwa usione mtu anayefanya biashara fulani hana akili kwa kuwa wewe unafanya biashara tofauti.Hiyo sio biashara ya kufanya ni chizi pekee atanunua bajaji Ili kufanya biashara
Wakati shamba nkiwekeza 3,000,000/= kilimo cha mpunga sikosi faida ya 7,000,000/= kwa mwaka mmojaTupe hesabu zako basi zinazosibitisha uchizi wake??
20,000x365days= 7,300,000 hiyo ni kwa mwaka mmoja.
Tatizo ccm Hamna akili,umewahi miliki bajaji wewe??au ndo wale wale wapu$$$mbavu waandamizi???Mleta mada nakuunga mkono. Vijana wanapenda vitu rahisi ndo maana wanashindwa kuzungusha 10m kupata 10m nyingine ndani ya mwaka. Kimsingi hiyo biashara ni ya kipumbavu.
Aisee bajaji ni biashara kichaaWakati shamba nkiwekeza 3,000,000/= kilimo cha mpunga sikosi faida ya 7,000,000/= kwa mwaka mmoja
Hizo ni hesabu za kwenye karatasi. Ukinunua bajaji utajua hujui.Tupe hesabu zako basi zinazosibitisha uchizi wake??
20,000x365days= 7,300,000 hiyo ni kwa mwaka mmoja.
Hujagombana na dreva, ukishamkabidhi anajimilikisha had mgombane ndo alete mauzo ya sikuAisee bajaji ni biashara kichaa
HujitambuiUzi wako ungekuwa umeleta maana kama ungekuja na idea yenye mchanganuo yakinifu wapi mtu anaweza kuwekeza akiwa 10m ili aweze kupata faida zaidi ya 20k kwa siku. Ila kwa hii mipasho ulikuja nayo wewe ndio unaonekana hauna akili. Kwa mtazamo wangu ni bora kuwekeza kwenye biashara unayoifahamu vyema hata kama faida yake ni ndogo kuliko kuwekeza kwenye biashara ambayo huifahamu vizuri hata kama unasikia inalipa sana. Biashara inaendana na life style ya mtu, kuna biashara zingine zinahitaji usimamizi wa karibu sana na zingine unaweza kuzifanya bila kuwa karibu sana. Kwa usione mtu anayefanya biashara fulani hana akili kwa kuwa wewe unafanya biashara tofauti.
Bora kwenda kununua ardhi halafu ukalala tu kama unaona kukaa na hela utailaHujagombana na dreva, ukishamkabidhi anajimilikisha had mgombane ndo alete mauzo ya siku
Hesabu we huoni hapo million 10 na 20k Kwa siku ni mbingu na ardhi halafu biashara yenyewe bajaji