Mbeba Lawama
JF-Expert Member
- Oct 12, 2015
- 1,059
- 3,504
N bora utafute haic kwa ml 10 kwa siku ikuletee ata 35000 kama sio 50 hata kama itapak kifuru au kibeberu uko ndan ndan
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawake mna matatizo kweli?Onyesha hata million 1 tu kwenye account Yako 🤣🤣🤣🤣
Huyo ni mwanamke mkuu!Mkuu kumbe huyu ni mwanamke
Chief Songea mahindi yanakuwa tayari kuanzia mwezi wa ngapi?Biashara ya bajaji na kuweka fedha fixed au UTT ni biashara ambazo mtu unatakiwa ufanye kama tayari una 60 yrs.
Yani kijana upate 10M halafu uisubiri kwa miaka 2 ndio urudishe pesa ni ukichaa,huku hata ukialangua mahindi Mkoa wa Songea kwenda Mwanza unaweza rudisha 10M yako ndani ya miezi 4.
Ingiza depreciation hapo ni faida uchwara unapataTupe hesabu zako basi zinazosibitisha uchizi wake??
20,000x365days= 7,300,000 hiyo ni kwa mwaka mmoja.
Hizi risk tumuachie DrakeUoga wako ndio umasikini wako, ukitupia multibet milioni 90 hii hapa unaipata ndani ya siku
View attachment 3173299
Mimi bora niuze mabuyuz sio biashara kichaa kama hizi😁😁😁😁😁😁😁😁😁Kuna jamaa yangu aliuza kiwanja kanunua bodaboda mpya mbili kazikodisha zimletee hesabu! Ndani ya miezi mitatu ziko hoi taabani kazipaki!
Ulishatoka kwa shemeji yako? Ni aibu baba mzima karibia miaka 40 bado uko kwa shemeji!Yaani Kuna watu akili kama zimepungua kichwani hivi unanunua bajaji milion 10 halafu unampa mtu mmoja awe anapiga deiwaka anakuletea 20k Kila siku na risk za kutosha hii ni akili Gani yaani hela za mashamba ya urithi nyumbani kwenu unatarajia hii biashara kichaa ikunufaishe aisee kweli washamba mnaotoka kijijini na pesa za urithi wa mashamba mtaendelea kukumbatia umasikini milele?
Bora anaetoa pesa yake cash, akikomaa mwenyewe pesa yake ataiona.
Nawaona wajinga wale wa kuchukua bajaj za mkopo halafu kila siku upeleke 20,000 ya marejesho kwa miezi 36. Unakuta unainunua hiyo Bajaj hata mara 3.
Unamaliza kulipa deni na Bajaj imekufa.
japo sisi yanga zakwetu tunapoteza tumekuwa kama nyanya pori hazina mlinzi kila mtu anajichumiaKila mtu ashinde mechi zake
Wakati mwingine inawezekana hategemei hii hela kwa matumizi ya moja kwa moja na sio kila biashara inategemea ile faida ya fedha ya wakati huo. (hatumii money one) kama tulivyozoea.Yaani Kuna watu akili kama zimepungua kichwani hivi unanunua bajaji milion 10 halafu unampa mtu mmoja awe anapiga deiwaka anakuletea 20k Kila siku na risk za kutosha hii ni akili Gani yaani hela za mashamba ya urithi nyumbani kwenu unatarajia hii biashara kichaa ikunufaishe aisee kweli washamba mnaotoka kijijini na pesa za urithi wa mashamba mtaendelea kukumbatia umasikini milele?
Siku za kazi siriazi kwa watu wengi ni siku 20 kwa mwezi, sawa na siku 240 kwa mwakaTupe hesabu zako basi zinazosibitisha uchizi wake??
20,000x365days= 7,300,000 hiyo ni kwa mwaka mmoja.
nijua tu hata wew ukipewa hiyo 10m huna chakufanya kukuletea zaidi ya 20k per dayBora kwenda kununua ardhi halafu ukalala tu kama unaona kukaa na hela utaila
huyo ndio mpumbavu wa mwishoM
matusi ya nn sasa mzee kwani ugomvi!! Hizo ni assumption kama zako tu ulizofanya.