Mtu anayetoa milion 10 kununua bajaji Ili apewe 20k Kwa siku ni kufanya biashara kichaa

Mtu anayetoa milion 10 kununua bajaji Ili apewe 20k Kwa siku ni kufanya biashara kichaa

Kwaiyo mkuu unawekeza M10 ili upate M7 kwa mwaka..hahaha....Halafu unasahau kitu..iyo M7 unayoipigia hesabu apo ki kama Bajaji itafanya kazi mwaka mzima bila ya kupumzika ata siku moja...kumbuka Kuna hesabu za service na garama zingine za uendeshaji kama Kodi za TRA,Insuarence saivi hadi zimamoto wanawataka mabajaji wawe na mitung ya kuzima moto kwa dharula..kiukweli mleta mada yuko sahihi sana..kuwekeza M10 kwa faid isiyo zid M6 kwa mwaka huo ni uvivu wa kufikilia..
Kuna biashara ambazo ukiingiza hiyo M10 kwa mwaka na ukawa unasimamia iyo biashara kikamilifu ndan ya mwaka unaweza ukatengeneza faida ata ya M15..
Zitaje mkuu hizo business
 
ili uweze kupata faida hapo ni kupiga hesabu ya miaka mitatu (3) kitu ambacho ni kigumu sana.

Watu wengi wanakuwa wametunza hela tu ambayo pia inakuwa imekutana na kushuka kwa shilingi, ila hilo hawalioni wao wanatafuta kurudisha ile milioni 10.

Anayefaidi hiyo biashara huwa ni yule anayeinunua iyo bajaji used maana inakuwa imeshashuka thamani kwa 30% ambayo ni lazima ishuke sawa na gari inavyokuwa.

Sasa huyu akiinunua mkononi atanunua labda milioni 7 ataitumia naye akiitunza atauza ama milioni 6 au 5.5 yeye inakuwa imeshuka kidogo zaidi kwake.

Sawa na gari tu ukinunua jipya ukasajili wewe wa kwanza kiuchumi hutalifaidi, kama atakayelinunua ukuwa mkononi mfano mwako baadae, maana hakutani na anguko kubwa la thamani kama wewe.

Kwakutokujua wengine wanasema gari liability kumbe ni sababu ya hilo hesabu dogo tu.

Nimeongea hadi nimetoka nje ila nikuonesha tu namna yakuzifikiria hizo hesabu
 
Ni biashara ya kifala kweli, ila biashara nyingi faida yake ni ndogo pia cha msingi ni mzunguko wa fedha usiende mbali na wewe.
unaijua biashara ya hardware hii ni manyoko usipouza stock kubwa kwa mwezi mmoja tu
Ila wanasema hardware ina faida kubwa sana
 
Kuna faza comments za juu kule et kaleta hesabu za kuzidisha sijui 20*365
Ahahahahha kuna watu nikisema kichwani wana maji ya mchele mnakataaa 😄😄😄😄😄😄
Kuna faza comments za juu kule et kaleta hesabu za kuzidisha sijui 20*365
Ahahahahha kuna watu nikisema kichwani wana maji ya mchele mnakataaa 😄😄😄😄😄😄
Hapo kakosea wapi, fafanua tafadhali
 
Wewe ukiwa na 10M utafanya biashara gani?
Asante sana kwa swali lako zuri mkuu..
Kwanza tatoa mil 5 tampa antiel dorry atafanya biashara ya cosmetic hapa mtaani kwentu..

Mil 5 inayobaki nawekeza katika biashara ya film na camera accessories an nakua natafuta vijana wa kazi wa kutumia hvo vtu na kuanza kutafuta connection za mashughuli mbali mbali
 
milioni kumi kwa sasa unafanya biashara gani sasa ? ,labda ufungue genge
milioni kumi kwa sasa unafanya biashara gani sasa ? ,labda ufungue genge
milioni kumi kwa sasa unafanya biashara gani sasa ? ,labda ufungue genge
milioni kumi kwa sasa unafanya biashara gani sasa ? ,labda ufungue genge

Mbona Bajaj zimejaa tele barabarani,au ni za majini😂

Asante sana kwa swali lako zuri mkuu..
Kwanza tatoa mil 5 tampa antiel dorry atafanya biashara ya cosmetic hapa mtaani kwentu..

Mil 5 inayobaki nawekeza katika biashara ya film na camera accessories an nakua natafuta vijana wa kazi wa kutumia hvo vtu na kuanza kutafuta connection za mashughuli mbali mbali
Anti Dorry akikuibia Kila siku elfu ishirini hautafilisika boss?
 
Yaani Kuna watu akili kama zimepungua kichwani hivi unanunua bajaji milion 10 halafu unampa mtu mmoja awe anapiga deiwaka anakuletea 20k Kila siku na risk za kutosha hii ni akili Gani yaani hela za mashamba ya urithi nyumbani kwenu unatarajia hii biashara kichaa ikunufaishe aisee kweli washamba mnaotoka kijijini na pesa za urithi wa mashamba mtaendelea kukumbatia umasikini milele?
Uwekazaji unahitaji mtani mkuu,ukiogopa hayo hutafika!
 
Huu uzi umenisaidia sana ahsante kwa mtoa mada naomba mods mumsamehe mumfungulie

Hawa watu bila kuwananga hawatoi codes za biashara

Hapa tumepata shuhuda za uhakika sio uwongo wa motivation speaker
 
Kwa maoni yangu kumpa mnyoa kiduku(virasta) bajaji ya milion 10 kwa rejesho la 20k per day ni uongo nazani wamiliki wa bajaji wangewaiga MO FINANCE na WATU rejesho per day 25k hadi 30k inategemea na kianzio na bado kuna kianzio ndio kitaamua rejesho lako vijana wanazigombania mno

Hii biashara ina pesa kama utaamua kuingia mwenyewe barabarani pesa utaiona haswaa. Mimi pia natarajia kuingia kwenye hii biashara maana nimeshamaliza process zote na bank ya CRDB bado kukabiziwa chombo changu

Bank wana mikataba mizuri na rejesho nafuu mimi nikipata chombo natakiwa nirejeshe 17k per day na dereva ni mimi mwenyewe kwa sasa nimechukua likizo ya miezi miwili kazini nataka nijaribu upande wa bajaji na pia ninampango wa kuomba miezi miwili tena bila malipo nazani kwa miezi 4 nitapata picha halisi kati ya biashara ya bajaji na kazi ninayofanya kipi ni bora

Tusikatishane tamaa kwa kusema biashara ya bajaji hailipi changamoto zipo kwa kila biashara sema wengi tunapenda umwinyi umenunua bajaji unamkabizi kiduku (virasta) bila kujua changamoto ya biashara kwa undani hapo shida ipo
Mkuu tupe mrejesho hali ikoje baada ya kuingia kwenye game?
 
Ni bora hata boda ya milion 3 ukiletewa 10k per day sio mbaya, itachukua muda mfupi kurudisha bei ya kununulia chombo plus costs zozote ulizoingiliwa kufanya chombo kiwe road(insurance, nenda kwa usalama kama zipo etc) kuliko kuwa ba bajaji worth 10000k
Mkuu hapo mkataba unakua wa muda gani?
 
Jamani wananzengo yuko sawa kwa namna fulani. Anenufaika sana na hiyo bajaji ni yule anaeendesha. Bajaji ukininunua endesha mwenyewe au mtu wako sio wa mshahara. Wengi jwenye hesabu wanapiga tu 20k x 365 wakato kuna service, kuumwa, uharibifu,fain za t
Barabarani traffic jams,mvua nyingi barabara nyingine mbovu n.k, ni biashara ila sio ki kiviile, ila bora hiyo kuliko risk ya kulima mahindi wakati hujui mvua otanyesha vip.
 
Back
Top Bottom