Dah, nyuzi za siku hizi ...Kwenye mitandao kuna muda tunakoseana na kufikia kupigana Block au kuwa-Ignored.
Ni mtu gani maarufu amekublock kwenye Mtandao wa kijamii, na sababu iliyopelekea akublock ni nini?
Mimi binafsi nilipigwa Block na MangeKimambi baada ya kumkosoa alipokuwa ana-publish picha za Profesa Jay akiwa ICU.
Vipi wewe, uliblockiwa na mtu gani maarufu?
Kwanini sasaKiukweli Laizer Classic (Ayo Lizer) ameniblock
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Lemutuz (RIP) , Mange kimambi na Vannesa mdee. Vannesa sijui kwanini ameniblock maana sijawahi mfollow, alivyoolewa na Rotim nikasema niwaangalie walivyo moto nikakuta block… enhe sijui.
Ni mkasa mrefu Ila simlaumu, may be alihisi namtapeliKwanini sasa
Le mutuz amefariki lini? HeeeLemutuz (RIP) , Mange kimambi na Vannesa mdee. Vannesa sijui kwanini ameniblock maana sijawahi mfollow, alivyoolewa na Rotim nikasema niwaangalie walivyo moto nikakuta block… enhe sijui.
Muda mkuu, mwaka jana sikumbuki mwezi.Le mutuz amefariki lini? Heee