Mtu gani maarufu amekublock?

maria sarungi, ni ovyo sana yule dada, Halafu anajiona kama mtu muhimu flani hivi kwenye jamii.
 
Bavicha na machawa wengine baada ya kuwakosoa waqche ukasuku
 
Kumbe huyu Juma Lokole ana followers?

Hii kampeni ndio maana inakuwa ngumu sana.
Tena wanamfatilia sana
Ana mashabiki kwerikweri
Utakuta mtu pembeni anawakandia wale,alafu huku anamfatilia lokole 😄

Ova
 
Daniel kijo
Dr Chain
Dudu
Bill wa jua kali
Hemdy phd
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…