Mtu kama Albert Msando, kwanini anateuliwa kuongoza watu Wilayani?

Ameteuliwa sababu ni mpima oil, angalia watu wenye tabia za umalaya umalaya ndio wanapendwa sana CCM
 
waki kutana bahati mbaya Msando Akamuangalia machoni ana pata picha gani kwenye ubongo! Akikumbukia hiyo video
 
Kwa kweli tunatakiwa kujitafakari sana lugha tunazotumia. Inataka kuwa kama tumekuwa na mzowea ya kuongozwa kwa ukatili badala ya kupenda kuongozwa kistaarabu.
 
Achana na hili. Wakati 'ze utamu' inapigwa marufuku sababu ilikuwa ni nini? nilisikia wakubwa wa nchi walionekana wakilawiti.
 
Huyu member aitwaye KITIMOTO si bure na mafanikio ya ndugu Msando....🤣🤣

KITIMOTO anachuki kali na ndg.DC....yaani kila COMMENT inayopinga THREAD ,bwana huyu anaipa DISLIKE 🤣🤣

Kitimoooootoooo CHUKI huviza moyo ha ha ha

#KaziInaendelea
 
Kwa kweli uteuzi huu wa ma-DC unazua maswali mengi. Na kwa jinsi cheo cha DC kinavyozidi kushushwa hadhi, sitashangaa kusikia Likwidi kaukwaa u-DC.
Na pengine ni wakati muafaka tuanze kutafakari kama taifa, kama bado kuna haja ya kuwa na ma-DC na RC anyway.
 
Wamama was morogoro wajipange watoto wao kushikwa vibumbuz, ila wewe ni mtu was Pombe, huna moral authority kumuhoji Samia
 
Huyu jamaa ana id yake nyingine nimeisahau jina, nimemkumbuka kwa hizi dislikes, anaibukaga tu kwenye thread anatupia dislike kila comment...
Uzi mzima anamwaga dislike
 
Kama unahela na unakulaga bata vyema hakuna cha ajabu hapo ila kama hujui starehe,huna hela endelea kulalamika. Hapo alikuwa sio kiongozi sasa kwanini asimpapase mtoto mzuri tena naona hajamtendea haki mkono unatakiwa uzame ndichi mpaka mtoto atetemeke kama jenereta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…