Demi
JF-Expert Member
- Nov 22, 2016
- 40,466
- 88,695
nadhani wengi hawajui maana ya kudhalilishwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nadhani wengi hawajui maana ya kudhalilishwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ushawahi kuyanusa?
Waone rafiki zake Msando 🤣Yanakuaga udongo tuuu Nyani Ngabu😂😂😂
Sijui kama wamama wala udongo tulishawahi gundua hili
Naunga hojaMsameheni,alikuwa tungi hajielewi
Mi nashangaa. Maadili ni kwenye suala linalohusu uchi tu.Hii nchi Gwaji naye akala kondoo live,leo hii anawakilisha wajanja wa kawe.
Ndiyo maana ukaitwa uchi.Demi uchi una power kubwa mno especially kwa washamba kama msando.Mi nashangaa. Maadili ni kwenye suala linalohusu uchi tu.
Hahaha. Baada ya hiyo clip Jamaa akaokoka.Hahahah wazee wa kusagia kunguni😂😂😂 mmemkazia mpaka muende nae kuzimu kudadadeki! Ubaya ni kuwa hawezi tenguliwa this shit is for the past! Ingekuwa imetokea week iliyopita sawa na uzuri mama mtu wa mitandao atakuwa alishaionaga hio clip kwa hio hamna geni!
Sahizi ni mlokole jamaa hapigi tena ulabu?Hahaha. Baada ya hiyo clip Jamaa akaokoka.
Ni Albert Msando.
Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe?
What was he doing there? Fingering her?
What the hell is wrong with you Samia?
Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on your appointees? Is there any moral clause in the job description for the positions that you nominate these people for? Any code of ethics to be followed?
Shameful! Repulsive! Disgusting!
And shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?
Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?
=====
Hakuna watu wanaomsaidia Rais @SuluhuSamia kufanya vetting ya ma DC kabla ya kuingizwa kwenye PDF? Kama watu dizaini ya Msando anaingizwa kwenye PDF ya Ikulu bila ya kufanyiwa vetting hii ni hatari zaidi ipo siku tutakuja kupata watu wa hovyo zaidi kwenye nafasi hizi za uteuzi.
Soma Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil
View attachment 1827155
Acha wivu, mbona uchafu wako huusemi?Ni Albert Msando.
Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe?
What was he doing there? Fingering her?
What the hell is wrong with you Samia?
Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on your appointees? Is there any moral clause in the job description for the positions that you nominate these people for? Any code of ethics to be followed?
Shameful! Repulsive! Disgusting!
And shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?
Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?
=====
Hakuna watu wanaomsaidia Rais @SuluhuSamia kufanya vetting ya ma DC kabla ya kuingizwa kwenye PDF? Kama watu dizaini ya Msando anaingizwa kwenye PDF ya Ikulu bila ya kufanyiwa vetting hii ni hatari zaidi ipo siku tutakuja kupata watu wa hovyo zaidi kwenye nafasi hizi za uteuzi.
Soma Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil
View attachment 1827155
Swali lako haliko relevant!! Tikisa kichwa,jipige Kofi (inaezekana dishi limeyumba) alafu uliza swali lenye mantiki sasa
Mkuu wangu Mkuu wa mkoa wa Iringa alikuwa ni Komredi Mh.Ali Hapi hakuwahi kukutwa na kosa la kuomba RADHI......mbona mkuu wa mkoa wa iringa aliomba msamaha na ameondolewa
Hapa Paskali umeandika kama una uchungu fulani!Ila mimi najua utakumbukwa tu.Mkuu Nyani Ngabu , kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tuu.
Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.
Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.
Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.
Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.
Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.
Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!
Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya...
PIkitokea kuna Kiongozi ana Macho mazuri, na umeyapenda, je, kuna ubaya kumsifia macho yake? Ni ukosefu wa heshima na adabu?
Wana MMU, Salaam. Sisi binaadamu kila mtu ana kitu chake apendacho ndani ya moyo wake, na kila akikiona hicho apendacho, anakuwa roho kwatu!. Nina swali, inapotokea wewe unapenda macho, halafu kukatokea kuna kiongozi fulani mwanamke ana jicho hilo!, wewe unapenda jicho, ukimuona huyo mwenye...www.jamiiforums.com
Kadhalilishwa na nani? Umeona anavyonyonga uno kufurahia mpapaso?
Kavideo kanasisimuaSi ndo hapo, ni wivu tu!