Mtu kama Albert Msando, kwanini anateuliwa kuongoza watu Wilayani?

Mtu kama Albert Msando, kwanini anateuliwa kuongoza watu Wilayani?

Hahahah wazee wa kusagia kunguni😂😂😂 mmemkazia mpaka muende nae kuzimu kudadadeki! Ubaya ni kuwa hawezi tenguliwa this shit is for the past! Ingekuwa imetokea week iliyopita sawa na uzuri mama mtu wa mitandao atakuwa alishaionaga hio clip kwa hio hamna geni!
Hahaha. Baada ya hiyo clip Jamaa akaokoka.
 
Ni Albert Msando.

Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe?

What was he doing there? Fingering her?

What the hell is wrong with you Samia?

Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on your appointees? Is there any moral clause in the job description for the positions that you nominate these people for? Any code of ethics to be followed?

Shameful! Repulsive! Disgusting!

And shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?

Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?

=====

Hakuna watu wanaomsaidia Rais @SuluhuSamia kufanya vetting ya ma DC kabla ya kuingizwa kwenye PDF? Kama watu dizaini ya Msando anaingizwa kwenye PDF ya Ikulu bila ya kufanyiwa vetting hii ni hatari zaidi ipo siku tutakuja kupata watu wa hovyo zaidi kwenye nafasi hizi za uteuzi.

Soma Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

View attachment 1827155

Kama Rais Samia Suluhu na wanaomsaidia kufanya teuzi mbalimbali wana akili na wanajali maadili mema ya watanzania na siyo kuwadharau, basi haraka sana atengue uteuzi wa mtu huyu na kutafuta mtu mwingine...

Tanzania ina watu zaidi ya 55,000,000. Ina maana miongoni mwa hawa amekosekana mtu mwema na mwenye maadili kuongoza watu wa wilaya ya Morogoro...?

Hii picha/video itumwe kwenye Twitter account ya Rais aione kwani inawezekana kabisa ameingizwa chaka na wasaidizi/washauri wake...
 
Ni Albert Msando.

Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe?

What was he doing there? Fingering her?

What the hell is wrong with you Samia?

Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on your appointees? Is there any moral clause in the job description for the positions that you nominate these people for? Any code of ethics to be followed?

Shameful! Repulsive! Disgusting!

And shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?

Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?

=====

Hakuna watu wanaomsaidia Rais @SuluhuSamia kufanya vetting ya ma DC kabla ya kuingizwa kwenye PDF? Kama watu dizaini ya Msando anaingizwa kwenye PDF ya Ikulu bila ya kufanyiwa vetting hii ni hatari zaidi ipo siku tutakuja kupata watu wa hovyo zaidi kwenye nafasi hizi za uteuzi.

Soma Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

View attachment 1827155
Acha wivu, mbona uchafu wako huusemi?
 
Swali lako haliko relevant!! Tikisa kichwa,jipige Kofi (inaezekana dishi limeyumba) alafu uliza swali lenye mantiki sasa

Hujaelewa?

1. Nani alirekodi hiyo video?

2. Huyo ni mke wake ?

3. Alipiga yeye? Alikodi mpiga picha?

4. Wewe ulishare hapo ilipo na kwanini ipo hapo?

Sasa niliuliza baada ya wajinga wachache kusema hiyo ni privacy yake.... nini maana ya privacy Kwenye mukhutada huu.....? Wewe ambaye dish halijayumba elezea.
 
Najaribu kutafakari,

hivi Kila mtu angefungiwa spy cam Kila anachofanya siku moja kiwe hadharan sijui wangapi wangekua safi.

Profession yangu imenifunza kua binadamu nikiumbe kinacho fanya mambo ya aibu Sana kwa jamii yake, Ila ni kiumbe kinachojua kuficha aibu zake kwa ustadi Sana, pia kiumbe hiki nikinafiki Sana kwa jamii yake hasa kinapokua na jukum kwa jamii yake mfano, utumishi wa kiroho,siasa nk.

Hivo tusimhukum Sana huyu bwana mdogo.

Kwenye maeneo ya starehe haya ni mambo ya kawaida na yumkini hata wachangiaji hum wamefanya yanayofanana nahayo.

Angekua kafanyia ofsin hapo ingekua noma.

Na mwisho nadhani wachangiaji wengi Wana (samahni lakini simaanishi kuwatusi) kaushamba-ushabiki flan hivi.
 
Mkuu Nyani Ngabu , kwanza naunga mkono hoja ya vetting, Mama amepelekewa makorokocho, na yeye bila kujua ni makorokocho, akateua tuu.

Kuna baadhi ya makorokocho hayo, sababu ya uteuzi wao ni mchango wao kwa CCM, Msando amefanya kazi mzuri iliyotukuka kwenye ile kamati ya mali za CCM.

Hayo makorokocho na Gigy ni personal private matter akiwa under influence of alcohol. Kuvuja kwa hizo video ni kuingilia privacy zake, kama tutapekenyeua privacy za kila mtu kwa kutumia a hidden camera, hakuna msafi, na hakuna atakayebaki !.

Mwisho, with due respect, umetumia lugha kali mno na very harsh kwa mtu gentle kama Mama Samia.

Maneno kama
"What the hell is wrong with you Samia?"
"Shameful! Repulsive! Disgusting!"
"shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?"
"Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?"
are unclalled for kwa mtu mwenye sifa kama za Mama Samia, wote tunajua vetting hafanyi yeye, yeye analetewa tuu majina, hivyo maneno makali haya, hayamstahili, mtu mwema, mpole, mstaarabu, mwelewa, mnyenyekevu kama Mama Samia.

Na kwa kuongezea, tofauti kubwa ya mwanaume na mwanamke sio physiological on sex tuu ya being male and female, bali ni psychologogal, men thinks, women feels, ukimtukana mwanaume kwa maneno makali hata matusi, mwanaume can take it na isiwe a big deal, kwasababu ana ngozi ngumu, lakini kwa mwanamke, it's not, hawa wana ngozi laini, naomba usiyalize yale macho, ukayarowesha kwa machozi, utatuumiza wengi!. Please lets spare this lovely lady kwenye baadhi ya mambo.
Just look at her Siku ya Wanawake Duniani: VP Samia Suluhu: "Womanly, Genuine, Humble, Simple na Down To Earth!

Nasisitiza tusimtoe machozi mtu mwenye macho haya...

P
Hapa Paskali umeandika kama una uchungu fulani!Ila mimi najua utakumbukwa tu.
 
Back
Top Bottom