Mtu kama Albert Msando, kwanini anateuliwa kuongoza watu Wilayani?

Mtu kama Albert Msando, kwanini anateuliwa kuongoza watu Wilayani?

Ni Albert Msando.

Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe?

What was he doing there? Fingering her?

What the hell is wrong with you Samia?

Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on your appointees? Is there any moral clause in the job description for the positions that you nominate these people for? Any code of ethics to be followed?

Shameful! Repulsive! Disgusting!

And shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?

Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?

=====

Hakuna watu wanaomsaidia Rais @SuluhuSamia kufanya vetting ya ma DC kabla ya kuingizwa kwenye PDF? Kama watu dizaini ya Msando anaingizwa kwenye PDF ya Ikulu bila ya kufanyiwa vetting hii ni hatari zaidi ipo siku tutakuja kupata watu wa hovyo zaidi kwenye nafasi hizi za uteuzi.

Soma Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

View attachment 1827155
Huyu inaonekana akipewa papa tena inayobana atatoa siri zote wilayani.Mama tengeu huyu mbuzi arudi kwenye kazi yake uwakili.
 
It is human to err
Msando alikosea zamani akaomba radhi, maisha lazima yaendelee. Sasa kama mtu ukifanya makosa hudiserve chance ya pili basi hakuna ambaye angesimama maana sisi sote tunafanya makosa na tuna potential ya kufanya makosa
 
Mkuu wa wilaya ni muwakilishi wa Rais wilaya husika na ndie anayesimamia utekelezaji wa sera,,na ilani kupitia secretariati hivyo anapaswa kuwa mtu mwenye weledi,,na maadili ,,,so katika nchi yenye watu millioni 50+ hatupaswi kuletewa watu ambao wana makandokando.nahisi huenda serikali zetu hazitambui rasilimali watu iliyopo hivyo kupelekea majina yanayosikika kwenye mitandao na vyombo vya habari kuteuliwa.
 
Mwanaume rijali Ni kawaida iyo, mabeach boy wanaita "KUNAWA" Malaya Kama hao kuwanawanawa ni must,
Acheni chuki kwa vijana wenzenu, ulitaka ateuliwe mnyarwanda au? Maana karibia wateule wote mnawananga, sijui mama angeteua kutoka kundi la malaika
Umeshasema beach boy, huwezi fananisha na swala la uongozi na beach boy huishia juu kwa juu na sio kujirekodi, Yani sioni hata unachotetea kwa wastaarabu huyu hafai kabisa na sio swala la chuki imagine kila kiongozi awe Ana jirekodi na kutiana madole kwenye uchi na kurusha mtandaoni tutakuwa wazima kweli au mahayawani ya huko porini yasiyo na akili.
 
Mwanaume rijali Ni kawaida iyo, mabeach boy wanaita "KUNAWA" Malaya Kama hao kuwanawanawa ni must,
Acheni chuki kwa vijana wenzenu, ulitaka ateuliwe mnyarwanda au? Maana karibia wateule wote mnawananga, sijui mama angeteua kutoka kundi la malaika
Kabisa katuwakilisha vizuri mwamba

Ova
 
Ni Albert Msando.

Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe?

What was he doing there? Fingering her?

What the hell is wrong with you Samia?

Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on your appointees? Is there any moral clause in the job description for the positions that you nominate these people for? Any code of ethics to be followed?

Shameful! Repulsive! Disgusting!

And shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?

Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?

=====

Hakuna watu wanaomsaidia Rais @SuluhuSamia kufanya vetting ya ma DC kabla ya kuingizwa kwenye PDF? Kama watu dizaini ya Msando anaingizwa kwenye PDF ya Ikulu bila ya kufanyiwa vetting hii ni hatari zaidi ipo siku tutakuja kupata watu wa hovyo zaidi kwenye nafasi hizi za uteuzi.

Soma Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

View attachment 1827155
Ubaya wa msando ni upi?hebu usemeni sio tu kutoa lawama
 
Hahahah wazee wa kusagia kunguni😂😂😂 mmemkazia mpaka muende nae kuzimu kudadadeki! Ubaya ni kuwa hawezi tenguliwa this shit is for the past! Ingekuwa imetokea week iliyopita sawa na uzuri mama mtu wa mitandao atakuwa alishaionaga hio clip kwa hio hamna geni!

Ni issue ya mwaka juzi , Albert hakustaili hiyo nafasi ni wa hovyo hovyo
 
Umeshasema beach boy, huwezi fananisha na swala la uongozi na beach boy huishia juu kwa juu na sio kujirekodi, Yani sioni hata unachotetea kwa wastaarabu huyu hafai kabisa na sio swala la chuki imagine kila kiongozi awe Ana jirekodi na kutiana madole kwenye uchi na kurusha mtandaoni tutakuwa wazima kweli au mahayawani ya huko porini yasiyo na akili.
isiwe nabishana na mtu ambae aliachwa na uyo Msando!!!!

maana iyo issue ya Msando ni ya miaka mingi,
Kuna mtu aliua bint yake, na alipewa urais huko nchi ya mbali
 
Bado una kinyongo na Msando kupaki gari za kifahari nyumbani kwake wakati wewe miaka nenda rudi unasafisha vyoo marekani mamako bongo anaishia kuendesha Carina ya marehemu baba yenye usajili wa mwaka 2003..

Bado unachukia vijana wa kibongo wanaomake it in life hapahapa bongoni wakati wewe achievement yako kubwa ni kujua vocabularies ila pesa ya kufanya mambo yanayoonekana imekupiga chenga!!

Swain ukapost eti akaunti yako ina billion nane wakati mamako anakaa kwenye kinyumba cha ovyo na wewe hakuna unachomiliki kwa jina lako hapa bongo..

Fake ass bitch..

Ana gari zipi za kifahari mkuu? Mtu mwenye uwezo wa kumiliki gari za kifahari angefungua grocery au angekua anakimbizana na mabiashara makubwa 😢😢😢😢😢
 
Yaliyopita si ndwele tugange yajayo. Msando nategemea atabadilika na kuacha yale mambo yao ya kina Babu Sambeke and the gang.
 
Back
Top Bottom