Na wenye uwezo wakijitutumua tu kuonekana basi unakuqa ndio mwisho wao aidha kwa mitaani au wanapelekwa Ahera kabisa. Hii nchi ione hivi hivi.Wakati mwingine hua inatokea kwamba anayepata chansi ni anayejulikana na siyo kwakua ana uwezo.
Wenye uwezo ni makeyboard warrior na anonymous id wataonekana saa ngapi? Wanaojulikana Msukuma, Kheri James, Gwajima n.k.