Mtu kama Albert Msando, kwanini anateuliwa kuongoza watu Wilayani?

Mtu kama Albert Msando, kwanini anateuliwa kuongoza watu Wilayani?

Ni Albert Msando.

Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe?

What was he doing there? Fingering her?

What the hell is wrong with you Samia?

Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on your appointees? Is there any moral clause in the job description for the positions that you nominate these people for? Any code of ethics to be followed?

Shameful! Repulsive! Disgusting!

And shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?

Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?

=====

Hakuna watu wanaomsaidia Rais @SuluhuSamia kufanya vetting ya ma DC kabla ya kuingizwa kwenye PDF? Kama watu dizaini ya Msando anaingizwa kwenye PDF ya Ikulu bila ya kufanyiwa vetting hii ni hatari zaidi ipo siku tutakuja kupata watu wa hovyo zaidi kwenye nafasi hizi za uteuzi.

Soma Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

View attachment 1827155
OH wakati huu si alikuwa CHADEMA inawezekana baada ya kutoka huko ameadilika
 
Hata background checks hawafanyi?

Mtu kama Msando anapasije background check huyu?
Mkuu hii nchi ni zoa zoa tu,sijui wanaofanya vetting ni watu gani? yaani kiufupi hatujawahi kuwa serious kwenye mambo ya msingi,nadhani uchama unachangia sana kwenye hili tatizo
 
Kama unahela na unakulaga bata vyema hakuna cha ajabu hapo ila kama hujui starehe,huna hela endelea kulalamika. Hapo alikuwa sio kiongozi sasa kwanini asimpapase mtoto mzuri tena naona hajamtendea haki mkono unatakiwa uzame ndichi mpaka mtoto atetemeke kama jenereta

1. Wewe jibu hayo maswali

2. Sehemu mojawapo muhimu katika ajira ni maadili na uadilifu.

Maadili ndiyo hujenga profile ya mtu

Maadili ndio hujenga vigezo vya mtu

Maadili ndio hutofautisha baina ya contenders

Maadili ni sehemu ya sifa za job requirements

Ili upate ajira hususani Kwenye ofisi za umma reference to the background ni muhimu sana

Kama huyajuwi hayo ni ujinga au kutojuwa management na integrity havitofautishwi.
 
Najaribu kutafakari,

hivi Kila mtu angefungiwa spy cam Kila anachofanya siku moja kiwe hadharan sijui wangapi wangekua safi.

Profession yangu imenifunza kua binadamu nikiumbe kinacho fanya mambo ya aibu Sana kwa jamii yake, Ila ni kiumbe kinachojua kuficha aibu zake kwa ustadi Sana, pia kiumbe hiki nikinafiki Sana kwa jamii yake hasa kinapokua na jukum kwa jamii yake mfano, utumishi wa kiroho,siasa nk.

Hivo tusimhukum Sana huyu bwana mdogo.

Kwenye maeneo ya starehe haya ni mambo ya kawaida na yumkini hata wachangiaji hum wamefanya yanayofanana nahayo.

Angekua kafanyia ofsin hapo ingekua noma.

Na mwisho nadhani wachangiaji wengi Wana (samahni lakini simaanishi kuwatusi) kaushamba-ushabiki flan hivi.
Kuna jambo moja labda hujalielewa...

Kila mmoja humu anajua na kuelewa kuwa kila binadamu bila kujali umri, hadhi, cheo au status yake ktk jamii;

å Huenda haja kubwa na ndogo

å Hufanya ngono halali na zisizo halali

å Wengine hata hufanya hata zile ngono kinyume na maumbile...

å Lakini kwa kufanyikia sirini huko, hatuwezi kuwa mahakimu kwa mambo yake huyo mtu ayafanyayo sirini yasiyomuathiri mtu mwingine moja kwa moja ambayo ni haki yake mtendaji na ivyo anajuana na Mungu wake aonaye sirini..

å Tena sasa mara nyingi kama sio zote, wafanyao huu uchafu ni watu ambao kwa nje unawaona kama watu maana sana na wana hadhi fulani hivi kwa sababu ya nafasi zao kisiasa, kiuchumi, utajiri, fedha nk nk lakini kumbe ni uchafu mtupu...

POINTI NI HII:

Kwamba, haya mambo ya kwenda choo, ngono nk sharti yafanyikie sirini na wala hakuna atakayekuwa na ugomvi na awaye yeyote. Ila ukitoa mambo yako ya sirini hadharani mfano eti unavua na kunya haja kubwa hadharani barabarani au unafanya ngono hadharani, hapo ni haki ya jamii ikung'ong'e na kukuhukumu sawia...!

Moja ya hukumu ni kutoaminiwa kisha kupewa nafasi yoyote ya uongozi ktk jamii maana hutaifundisha jamii hiyo lolote la manufaa zaidi kuwa wakikuona tu watakuwa wanaona uchafu wako toka kwenye nyayo zako hadi utosini. Kama utaongoza watu wenye mtazamo hasi kwako, usitegemee utapata ushirikiano wa dhati kwao unless utumie udikteta..!!

Sasa wewe unapoingiza ishu ya watu "kama wangefungiwa kamera za siri" ili kurekodi yafanyikayo sirini na kila mtu, sijui unakuwa umewaza nini tu..

SHIDA IKO WAPI KATIKA HILI LA ALBERT MSANDO?

Iko hapa...

Kwamba, binadamu aliye timamu na kamili anakamilishwa na uwezo wake wa kutenganisha mambo ya kufanyia sirini na yale ya kuweka wazi kwa manufaa ya wengine...

Hili alilofanya Albert Msando ni la sirini. Amekosa maadili na hastahili kuwa sehemu ya mtu wa mfano wa kuigwa ktk jamii. Linai - spoil jamii na watoto wetu...

Inawezekana alishagundua makosa yake na kutubu na kusamehewa....

Lakini labda kidogo watu tunakuwa hatujui jambo moja muhimu sana la kimaisha na kiroho....

Kuwa, kusamehewa ni hatua moja na wala hiyo haina ugumu wowote kuitenda kwa yeyote aombaye msamaha wa dhati ya moyo...

Lakini madhara (cost effects) ya baadhi ya makosa ya kimaadili kama hili la Msando hukaa muda mrefu sana hadi kufutika. Na kwa kifupi mtu wa namna hii hawezi kuaminiwa tena na jamii na kwa lugha rahisi haishauriwi akapewa nafasi ya uongozi wa kijamii...

Na actually hii ndiyo gharama (cost) moja mbaya sana ya dhambi, kwamba, unasamehewa lakini kumbukumbu (matokeo ya dhambi hiyo) kufutika huwa ni ngumu sana na utaishi na matokeo hayo muda mrefu sana...

Albert Msando kwa tendo hili la kingono ya hadharani, alipaswa kuja kuwa kiongozi wa jamii ktk ngazi yoyote miaka 100 ijayo (kama atakuwapo) baada ya kizazi hiki kilichoona uchafu wake kutoweka na kuja kizazi kingine kipya kabisa kisichomjua....

Kwa sasa tendo lake hili litamwandama popote atakapokuwa na atakalokuwa anafanya....
 
Ni Albert Msando.

Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe?

What was he doing there? Fingering her?

What the hell is wrong with you Samia?

Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on your appointees? Is there any moral clause in the job description for the positions that you nominate these people for? Any code of ethics to be followed?

Shameful! Repulsive! Disgusting!

And shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?

Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?

=====

Hakuna watu wanaomsaidia Rais @SuluhuSamia kufanya vetting ya ma DC kabla ya kuingizwa kwenye PDF? Kama watu dizaini ya Msando anaingizwa kwenye PDF ya Ikulu bila ya kufanyiwa vetting hii ni hatari zaidi ipo siku tutakuja kupata watu wa hovyo zaidi kwenye nafasi hizi za uteuzi.

Soma Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil

View attachment 1827155

Mkuu umeandika kwa ukali sana. Tatizo Nini. Nakumbuka alishaomba radhi. Ungeweza tu kuunderline maadili. Lakini umekuwa very Personal. Tuambie Kuna Nini Kati yako na wewe. Ukiachana na hayo mengine, nahisi atakuwa Mkuu wa Wilaya mzuri.

NB. Watanzania Sisi wanafiki sana.
 
Mkuu umeandika kwa ukali sana. Tatizo Nini. Nakumbuka alishaomba radhi. Ungeweza tu kuunderline maadili. Lakini umekuwa very Personal. Tuambie Kuna Nini Kati yako na wewe. Ukiachana na hayo mengine, nahisi atakuwa Mkuu wa Wilaya mzuri.

NB. Watanzania Sisi wanafiki sana.
Hivi Samia anaweza kweli kuiangalia hiyo clip halafu aone ni poa tu?
 
Kuna jambo moja labda hujalielewa...

Kila mmoja humu anajua na kuelewa kuwa kila binadamu bila kujali umri, hadhi, cheo au status yake ktk jamii;

å Huenda haja kubwa na ndogo

å Hufanya ngono halali na zisizo halali

å Wengine hata hufanya hata zile ngono kinyume na maumbile...

å Lakini kwa kufanyikia sirini huko, hatuwezi kuwa mahakimu kwa mambo yake huyo mtu ayafanyayo sirini yasiyomuathiri mtu mwingine moja kwa moja ambayo ni haki yake mtendaji na ivyo anajuana na Mungu wake aonaye sirini..

å Tena sasa mara nyingi kama sio zote, wafanyao huu uchafu ni watu ambao kwa nje unawaona kama watu maana sana na wana hadhi fulani hivi kwa sababu ya nafasi zao kisiasa, kiuchumi, utajiri, fedha nk nk lakini kumbe ni uchafu mtupu...

POINTI NI HII:

Kwamba, haya mambo ya kwenda choo, ngono nk sharti yafanyikie sirini na wala hakuna atakayekuwa na ugomvi na awaye yeyote. Ila ukitoa mambo yako ya sirini hadharani mfano eti unavua na kunya haja kubwa hadharani barabarani au unafanya ngono hadharani, hapo ni haki ya jamii ikung'ong'e na kukuhukumu sawia...!

Moja ya hukumu ni kutoaminiwa kisha kupewa nafasi yoyote ya uongozi ktk jamii maana hutaifundisha jamii hiyo lolote la manufaa zaidi kuwa wakikuona tu watakuwa wanaona uchafu wako toka kwenye nyayo zako hadi utosini. Kama utaongoza watu wenye mtazamo hasi kwako, usitegemee utapata ushirikiano wa dhati kwao unless utumie udikteta..!!

Sasa wewe unapoingiza ishu ya watu "kama wangefungiwa kamera za siri" ili kurekodi yafanyikayo sirini na kila mtu, sijui unakuwa umewaza nini tu..

SHIDA IKO WAPI KATIKA HILI LA ALBERT MSANDO?

Iko hapa...

Kwamba, binadamu aliye timamu na kamili anakamilishwa na uwezo wake wa kutenganisha mambo ya kufanyia sirini na yale ya kuweka wazi kwa manufaa ya wengine...

Hili alilofanya Albert Msando ni la sirini. Amekosa maadili na hastahili kuwa sehemu ya mtu wa mfano wa kuigwa ktk jamii. Linai - spoil jamii na watoto wetu...

Inawezekana alishagundua makosa yake na kutubu na kusamehewa....

Lakini labda kidogo watu tunakuwa hatujui jambo moja muhimu sana la kimaisha na kiroho....

Kuwa, kusamehewa ni hatua moja na wala hiyo haina ugumu wowote kuitenda kwa yeyote aombaye msamaha wa dhati ya moyo...

Lakini madhara (cost effects) ya baadhi ya makosa ya kimaadili kama hili la Msando hukaa muda mrefu sana hadi kufutika. Na kwa kifupi mtu wa namna hii hawezi kuaminiwa tena na jamii na kwa lugha rahisi haishauriwi akapewa nafasi ya uongozi wa kijamii...

Na actually hii ndiyo gharama (cost) moja mbaya sana ya dhambi, kwamba, unasamehewa lakini kumbukumbu (matokeo ya dhambi hiyo) kufutika huwa ni ngumu sana na utaishi na matokeo hayo muda mrefu sana...

Albert Msando kwa tendo hili la kingono ya hadharani, alipaswa kuja kuwa kiongozi wa jamii ktk ngazi yoyote miaka 100 ijayo (kama atakuwapo) baada ya kizazi hiki kilichoona uchafu wake kutoweka na kuja kizazi kingine kipya kabisa kisichomjua....

Kwa sasa tendo lake hili litamwandama popote atakapokuwa na atakalokuwa anafanya....
I couldn’t have put it any better!!!!

💯%.
 
Back
Top Bottom