Mtu kama Albert Msando, kwanini anateuliwa kuongoza watu Wilayani?

Mtu kama Albert Msando, kwanini anateuliwa kuongoza watu Wilayani?

Acha uchawi hii kitu sote tunafanya na tunapenda sema hatuvujishiwi maana pia hatuna umaarufu. Kunashida gani hapo acha roho mbaya wewe. Kwasababu ya hicho kivideo ndio hana haki kupewa kazi yoyote? Mbona Clinton alikula papa live ofisini tens akiwa madarakani na bado akapewa urais? Poor gossip mind!
 
Hata background checks hawafanyi?

Mtu kama Msando anapasije background check huyu?
Sioni Kama ana tatizo ukimlinganisha na Sabaya, Magufuli alikuwa anateua wapuuzi wengi kwenye utawala wake, na hamkuwa mnapiga kelele.

Mama hasisikilize maneno ya wanafiki Kama wewe, ambao kipindi cha magufuli mlikuwa kila ujinga mnashangilia kisa msukuma mwenzenu, Msando atahukumiwa kwa atakayoyafanya Sasa akiwa DC, sio kwa jambo ilo moja tu la kawaida
 
Kwa uelewa wangu ni kwasababu tu hiyo clip imetoka hadharani na tumeiona (labda hii iwe ndiyo kasoro kubwa) ila kuna watu ni viongozi wa kuheshimika hufanya makubwa ya kustaajabisha zaidi ya hilo la Msando. I'm not trying to defend him though.
 
Naunga mkono hoja. I was also very much surprised and shocked. It is really disgusting, undeserved, and shameful appointment.
Kwaiyo angeteuliwa shangazi yako, maana hakuna mkamilifu chini ya jua, Bora ya uyo Msando, kuliko jambazi na muuaji Kama Sabaya,
Na mtekaji watu Kama Bashite
 
Kwa uelewa wangu ni kwasababu tu hiyo clip imetoka hadharani na tumeiona (labda hii iwe ndiyo kasoro kubwa) ila kuna watu ni viongozi wa kuheshimika hufanya makubwa ya kustaajabisha zaidi ya hilo la Msando. I'm not trying to defend him though.
Msando hafai!
 
Sidhani kama huwa kuna background check kwa hawa wakuu wa kamati za ulinzi na usalama wa wilaya zetu, kama tulikuwa na jambazi sugu(Sabaya) akiwa mkuu wa wilaya ujue yoyote anaweza kuwa.

Ngoja naye huyu tuje kumuhukumu kwenye utendaji wake, private life yake inaweza isiathiri utendaji wake na kama ana jinai yoyote apelekwe mbele ya pilato.
Uingereza kulikuwa na waziri alishikwa mtaani akifanya uhuni kama wa Msando. Waziri Mkuu alimfuta kazi na kuteua mwingine kwenye nafasi hiyo bila hata kusubiri utetezi wa muhuni huyo au kusoma barua yake. Albert Msando must go. Kuna waTz milioni 60 hivi, who is this Msando amongst Tanzanians ?! Tuongozwe na muhuni wa hadharani? Hicho kiapo cha maadili atakiapaje wakati wa kuapishwa?!. Mama Samia, tafadhali, futa takataka hii.
 
Ni Albert Msando.

Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe?

What was he doing there? Fingering her?

What the hell is wrong with you Samia?

Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on your appointees? Is there any moral clause in the job description for the positions that you nominate these people for? Any code of ethics to be followed?

Shameful! Repulsive! Disgusting!

And shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?

Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?

=====

Hakuna watu wanaomsaidia Rais @SuluhuSamia kufanya vetting ya ma DC kabla ya kuingizwa kwenye PDF? Kama watu dizaini ya Msando anaingizwa kwenye PDF ya Ikulu bila ya kufanyiwa vetting hii ni hatari zaidi ipo siku tutakuja kupata watu wa hovyo zaidi kwenye nafasi hizi za uteuzi.

Soma Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil
View attachment 1827155
CCM kumeoza zaidi
 
Uingereza kulikuwa na waziri alishikwa mtaani akifanya uhuni kama wa Msando. Waziri Mkuu alimfuta kazi na kuteua mwingine kwenye nafasi hiyo bila hata kusubiri utetezi wa muhuni huyo au kusoma barua yake. Albert Msando must go. Kuna waTz milioni 60 hivi, who is this Msando amongst Tanzanians ?! Tuongozwe na muhuni wa hadharani? Hicho kiapo cha maadili atakiapaje wakati wa kuapishwa?!. Mama Samia, tafadhali, futa takataka hii.
Bora ya Msando kule ndani kumeoza kabisa
 
Hizo zinakuwa ni burudani baada ya kazi..

Tatizo nini hapo, kufanya hayo anayoyafanya faraghani.....kosa kama video kavujisha yeye ila kama video imevujishwa na wahuni wengine basi hilo ndio kosa.... hapo yupo faragha na mpenzi wake kama wewe unavyokuwa faragha na mpenzi wako mkifanya yenu....
 
Ni Albert Msando.

Look at him. Wamekosekana kabisa watu wenye maadili na wanaojiheshimu mpaka kupelekea huyu ateuliwe?

What was he doing there? Fingering her?

What the hell is wrong with you Samia?

Do you just flip a coin when picking these people? Do you conduct any background checks on your appointees? Is there any moral clause in the job description for the positions that you nominate these people for? Any code of ethics to be followed?

Shameful! Repulsive! Disgusting!

And shame on you Samia! Are you proud of appointees like this?

Are you that morally bankrupt? You don’t care? Don’t give a damn?

=====

Hakuna watu wanaomsaidia Rais @SuluhuSamia kufanya vetting ya ma DC kabla ya kuingizwa kwenye PDF? Kama watu dizaini ya Msando anaingizwa kwenye PDF ya Ikulu bila ya kufanyiwa vetting hii ni hatari zaidi ipo siku tutakuja kupata watu wa hovyo zaidi kwenye nafasi hizi za uteuzi.

Soma Gigy Money amponda Alberto Msando kuhusu video iliyovuja akimpima oil
View attachment 1827155
Ni ngumu sana kuwatofautisha CCM mna haya mauchafu...kutoka juu hadi chini wote wanafana, so relax!
 
Back
Top Bottom