P Paf JF-Expert Member Joined May 25, 2021 Posts 1,703 Reaction score 3,307 Jun 27, 2021 #1 Haiingii akilini kutangazwa MTU kapita bila kupingwa. Kila uchaguzi iwepo kanuni ya uwepo wa mgombea zaidi ya mmoja hata kama ni chama kimoja endapo vyama vingine havisimamishi kwasababu mbalimbali.
Haiingii akilini kutangazwa MTU kapita bila kupingwa. Kila uchaguzi iwepo kanuni ya uwepo wa mgombea zaidi ya mmoja hata kama ni chama kimoja endapo vyama vingine havisimamishi kwasababu mbalimbali.
MKANDAHARI JF-Expert Member Joined Apr 7, 2011 Posts 5,727 Reaction score 6,615 Jun 27, 2021 #2 Afu ccm tu ndio hupita bila kupingwa. Jiwe ubunge wake wote alikuwa anapita bila kupingwa. Maajabu haya
Afu ccm tu ndio hupita bila kupingwa. Jiwe ubunge wake wote alikuwa anapita bila kupingwa. Maajabu haya
Lord OSAGYEFO JF-Expert Member Joined Feb 19, 2021 Posts 3,085 Reaction score 4,890 Jun 27, 2021 #3 HAKUNA aliyepita Bila KUPINGWA ni UKATILI na MWENDAZAKE ila MUNGU ni FUNDI