kwa hio wengine wamelaaniwa ?Kwahiyo watu wasimtukuze Mungu hata kama wamebarikiwa mkuu??, kisa Kuna watu watajiskia vibaya seriously??..
Halafu ninachokiona Ni Wewe tu ndo ambaye unawasikiliza Kwa mtazamo WA wivu kama sio mtazamo WA kimaskini....
Hizo laana naona unazitamka Wewe sasa.. Kwa sababu kila mtu anabarikiwa Kwa nafasi yake, na huwezi ukakasirika mwenzio akisema amebarikiwa eti kwasababu Wewe bado.. Haitakuja kutokea watu tukalingana au wote tukafanikiwa Kwa pamoja,, so vizuri ukawa tu mpole kusubiri Baraka zako kuliko kuwaza unayoyawazakwa hio wengine wamelaaniwa ?
Habari, naomba unitumie no ya yule Mtaalamu wa dawa ya ngozi PM tafadhali.Kwahiyo watu wasimtukuze Mungu hata kama wamebarikiwa mkuu??, kisa Kuna watu watajiskia vibaya seriously?
Halafu ninachokiona Ni Wewe tu ndo ambaye unawasikiliza Kwa mtazamo WA wivu kama sio mtazamo WA kimaskini.
Kwanza utupe hizo haya za kwenye biblia au Qur'an zinazosema mtu kusema umebarikiwa Ni dhambi
Anyways,, am blessed and am highly favoured [emoji847][emoji847]
OkayHabari, naomba unitumie no ya yule Mtaalamu wa dawa ya ngozi PM tafadhali.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app