Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Ni kweli, baadhi ya watumiaji wa dawa za kufubaza virusi wanaweza kuwa na harufu fulani.
Hata hivyo, ni ngumu sana kujua kama ni kutokana na maambukizi ama la!. Uhakika ni kujua kwa kufanya vipimo stahiki.
Na endapo kweli anatumia dawa, basi mimi nadhani ni jambo la kupongezwa.
Hata hivyo, ni ngumu sana kujua kama ni kutokana na maambukizi ama la!. Uhakika ni kujua kwa kufanya vipimo stahiki.
Na endapo kweli anatumia dawa, basi mimi nadhani ni jambo la kupongezwa.