Mtu kutoa harufu ya dawa ni ishara kuwa ameathirika?

Mtu kutoa harufu ya dawa ni ishara kuwa ameathirika?

Nimekutana naye zaidi ya mara tatu, na kila nikikutana naye anatoa harufu kama ya dawa hivi.

Na hii harufu pia huwa naisikia nikikutana na mtu mmoja ambaye taarifa zilizopo ni kuwa anatumia dawa na mumewe alipotea.

Hii pisi ni pisi haswa na inaonekana kabisa nikigusa tu, imo.

Nishaurini wadau iko salama kweli?
Perfume iyo acha uoga
 
Back
Top Bottom