Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
Hivi ni kweliiii? WoiiiiiihGusa unase, urimbo...
Hiyo ya harufu ni kweli. Kuna dawa wengine nimeshaisikia hiyo harufu na wamekanyaga gridi ya taifa.
Basics nizitoe wapi? Unadhani kila mtu mfamasia?Arv hazitoi harufu , dawa zinazotoa harufu ni antibiotics , hivi hata kama siyo daktari hata basics kama hizi za maisha pia hamna?
Kwa hiyo unakubaliana na hisia zangu kuwa kaungua?
Harufu inatoka sehem gani mkuu? kwenye mkojo wake? kwenye ngozi au wapi hasa?Nimekutana naye zaidi ya mara tatu, na kila nikikutana naye anatoa harufu kama ya dawa hivi.
Na hii harufu pia huwa naisikia nikikutana na mtu mmoja ambaye taarifa zilizopo ni kuwa anatumia dawa na mumewe alipotea.
Hii pisi ni pisi haswa na inaonekana kabisa nikigusa tu, imo.
Nishaurini wadau iko salama kweli?
shida n je harufu ya dawa gani uckute ni mitishamba ya kiganga huko ya kuvutia wanaume, na umekua muhanga namba 1 in the list. pambana na hari yako πNimekutana naye zaidi ya mara tatu, na kila nikikutana naye anatoa harufu kama ya dawa hivi.
Na hii harufu pia huwa naisikia nikikutana na mtu mmoja ambaye taarifa zilizopo ni kuwa anatumia dawa na mumewe alipotea.
Hii pisi ni pisi haswa na inaonekana kabisa nikigusa tu, imo.
Nishaurini wadau iko salama kweli?
Hamna mkuu ni hizi dawa za kisasashida n je harufu ya dawa gani uckute ni mitishamba ya kiganga huko ya kuvutia wanaume, na umekua muhanga namba 1 in the list. pambana na hari yako π
Tutapima aiseeKwanini msipime kujiridhisha?
Kwani yesu ndio dokta Janabi acha kurukia madaMTAFUTE YESU ACHA UZINZI
NgoziHarufu inatoka sehem gani mkuu? kwenye mkojo wake? kwenye ngozi au wapi hasa?