Mtu msomi ni nani?

Ina maana hujaona kazi wafanyazo. Kuna wahasibu madaktari wahandisi walimu na wengineo kila mmoja na sekta yake.

Ni Kama pesa tu. Kila mtu na matumizi yake.
Wengi ukiwapima unakuta hakuna kitu 'special' wanachofanya; ndio maana changamoto haziishi
 
Ni kufanya nini, na mpaka sasa wamefanya kitu gani ambacho mtu wa darasa la nne B hawezi kufanya?

Nenda pale muhimbili au hospital kubwa yoyote ukaulize wagonjwa Hao madaktari wenye Elimu za juu wanafanya kitu gani ambacho darasa la nne B hawezi kufanya.
Au siku ukiumwa au Mkeo akihitaji upasuaji ndio uulize Hilo swali.

Au muulize Maxence Mello hao Watu wa degree wanafanya nini ambacho Darasa la nne B hawawezi mpaka humu ndani tunachati
 
Mtu msomi ni mwanazuo aka scholar. Msomi ni Mtaalam kwenye nyanja au fani maalum.
 
Ni sawa na fani ya ufundi
 
Fundi WA nini?
Kila fundi analevel yake. Akifikisha kiwango cha shahada anaitwa Msomi.
Kuna Hadi shahada ya ushonaji, upishi, n.k
Anatakiwa afanye kitu gani 'unique' tuseme huyu ni msomi; kuwa na makaratasi mengi sio usomi.
 
Tunazungumzia usomi sio kutatua Changamoto.
Hata mjinga anaweza kuwa na kitu special lakini hakimfanyi kuwa msomi.
Ili uwe msomi inabidi uende shule kwenye mfumo rasmi.
Hao sio wasomi
 
Anatakiwa afanye kitu gani 'unique' tuseme huyu ni msomi; kuwa na makaratasi mengi sio usomi.

Upekee hausomewi, upekee ni natural.
Usomi sio kuwa unique.
Msomi ni kuwa na Elimu ya juu katika fani Fulani. Huo ndio usomi.
Kwa sasa Elimu ya juu ni shahada,
Alafu kuna Elimu ya juu zaidi ambazo zinahusisha mabingwa, wabobevu n.k.
 
Na mpaka aitwe msomi anatakiwa atimize nini au fanye kitu gani kitakachomtambulisha kimataifa?
Vyeti na Degrees vya elimu kutoka nchi mbalimbali zinatambulika kimataifa sema zinatofautiana kwa ubora. Ni kwenda shule tu mkuu.
 
Upekee hausomewi, upekee ni natural.
Usomi sio kuwa unique.
Msomi ni kuwa na Elimu ya juu katika fani Fulani. Huo ndio usomi.
Kwa sasa Elimu ya juu ni shahada,
Alafu kuna Elimu ya juu zaidi ambazo zinahusisha mabingwa, wabobevu n.k.
''Accordance with eqnx ..../ according to eqn x...'' kama kwenye maandiko ya watu, hutumiki kwenye hiyo ''phrase'', usijihangaishe kujiita wewe ni msomi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…