Mtu msomi ni nani?

Msomi ni mwanasheria.
''Accordance with eqnx ..../ according to eqn x...'' kama kwenye maandiko ya watu, hutumiki kwenye hiyo ''phrase'', usijihangaishe kujiita wewe ni msomi.
 
''Accordance with eqnx ..../ according to eqn x...'' kama kwenye maandiko ya watu, hutumiki kwenye hiyo ''phrase'', usijihangaishe kujiita wewe ni msomi.
Daah kumbe ile learned brothers and sisters ni geresha, ngoja niingie gugo skola niongeze maarifa.
 
Daah kumbe ile learned brothers and sisters ni geresha, ngoja niingie gugo skola niongeze maarifa.
Zamani kulikuwa na 'flying lecturers'; vipi, nyakati hizi wapo?
 
Mawakili ukiondoa wa serikali
 
Kwa teknolojia ya sasa, sidhani kama wapo, sababu kuna njia nyingi za ku-deliver lecture tokea hata Ikulu ya Biden hadi Masasi.
Kama uko chwan, unatumiwa tiketi na kuambiwa tunahitaji uwepo wako siku fulani katika chuo kikuu x hapa DC n.k, tunahitaji 'presentation' yako katika mada fulani.
Hii ya 'online' maana yake uko 'cheap' hujakizi vigezo.
 
Mtu aliyeelimika ni yule mwenye uwezo wa kujifunza, kuchambua, na kutatua matatizo na ana wigo mpana wa maarfia...
Sawa, katika mazingira unayoishi, kuna wasomi wangapi wenye vigezo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…