Mtu mwenye deni la trillioni 100 ni tajiri kuliko mwenye bilioni 100 kwenye akaunti yake, kuna mtu anabisha?

madeni sio kabisa, haulali kwa amani..unakula kwa kujibana bana..unaishi kama mkimbizi ktk nchi huru, yaani madeni sitaki hata kuyasikia mimi.

Sent using Jamii Forums mobile app
NI kero mie mwenyewe siji rudia..NILIINGIA MKENHE BRACK

WALE WATU SIJUI WACHAWI HELA YENYEWE SIKUFANYIA NILICHO PANGA KILA ALHAMISI ILIKUWA KERO KWANGU

SIJI KOPAAA
 
Duuuu!!!!! Nimeingia cha kike humu wanajadili mikopo tu.
 
Maelezo yako kidogo hayajanyooka. Utajiri wa mtu unapimwa kwa NET WORTH yake at one moment in time, ambayo ni TOTAL ASSETS - TOTAL LIABILITIES. Kwa swali hilo huwezi kuwa na jibu la uhakika kwani hatujaambiwa kuwa kama wana assets zingine beside cash na wamezipataje

Bloomberg Billionaires Index
 
Trillioni 100 !!!!duh huyu jamaa alikopa fedha zote hizo kafanyia nini!!
 
Kati ya bakkressa na Serikali ya Tanzania nani ana deni kubwa? Na je, si kweli kwamba kuna wakati serikali huwa inakosa hata senti kwenye akaunti yake baada ya kulipa mishahara ya watumishi?
Ndio maana huwa kuna limits zimewekwa,(Debt to GDP ratio) kuna limit ukivuka unaingia kwenye hatari ya kutokopesheka,Ugiriki ilishawakuta hii,Sasa aje mtu akwambie kipindi kile Ugiriki ina deni la $2trilion na Saudi Arabia yenye Surplus ya $800billion kwenye reserve account,eti Ugiriki ni bora kuliko Saudi Arabia??.Utakuwa finacial analyst wa hovyo hujawahi tokea duniani.Kuna vitu vya kuangalia kabla ya kumkopesha mtu mwenye madeni
1.Madeni yake anayalipa?(sio kwamba yupo kwenye hatari ya kufilisiwa)
2.Kama anayalipa vizuri,je ana uwezo wa kulipa madeni mapya akikopeshwa(Hapa tunaangalia a/c transactions na balances baada ya kulipa madeni).
Haya mambo sio black and white kama tunavyodhani.Mfano kuna ile issue ya Mo dewji kumnyima Kingwangala mkpo wa pikipiki.Inawezekana kabisa Mo alifanya analysis zake akaamua kutompa kwa sababu ambazo ni sahihi kabisa..Hivi ndio mambo huwa.
Ila kama unataka kopesha kwa kutumia imani,jiandae kwa lolote
 
Hahaha, mbona ugiriki ilifilisika hadi wakapewa bailout na EU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…