Tetesi: Mtu mwenye Div four ya 26,unaweza kusomea nini??

Tetesi: Mtu mwenye Div four ya 26,unaweza kusomea nini??

Habari za muda huu members jf-elimu!nikiri kuwa ni Mara yangu ya kwanza kupost humu jf-elimu.Ninaomba ushauri,mdogo wangu amemaliza kidato cha NNE kama private candidate na amepata div.four ya 26,ana C mbili,literature na kiswahili,D anazo tano na F ya mathematics(hayo ndio matokeo yake,amesoma arts)

Kutukana na kwamba alifeli mwanzoni,akarudia kama PC anawaza asiendelee na form five,hivyo kama kuna uwezekano ajiunge chuo moja kwa moja!

Wanajukwaa,je kwa hizi marks ana sifa za kujiunga 1.chuo gani?
2.course gani?
3.Lini?
Ushauri wenu ni wa muhimu sana guys!

Naombeni ushauri Tafadhali.
Asante
Ukuu wa mkoa wa Dsm
 
Chochote haya mambo ya division ni kwa sababu ya umasikini tu.
 
Chochote unawez but unaanza certificate
Mfano ?dadavua kidogo,,tuanzie afya,je kwa MTU mwenye D 5 na C 2,(arts,isipokuwa ana D ya biology )maths F,ana kigezo cha kusoma course gani ya afya mkuu,?
 
Chochote haya mambo ya division ni kwa sababu ya umasikini tu.
Napata wapi maelekezo na miongozo sahihi ya nacte??,nimeingia Google naona mambo meeengi!sijapata taarifa sahihi kuhusu admission !
 
Hatakama hajasoma physics na chemistry??
Pia hii issue ya watu kufukuzwa vyuoni kisa hawana qualification haitamkuta???maana hili ndio la msingi sana hapa
Mpeleke unesi vyuo vingi tu.
 
Habari za muda huu members jf-elimu!nikiri kuwa ni Mara yangu ya kwanza kupost humu jf-elimu.Ninaomba ushauri,mdogo wangu amemaliza kidato cha NNE kama private candidate na amepata div.four ya 26,ana C mbili,(literature na kiswahili),D anazo tano na F ya mathematics(hayo ndio matokeo yake,amesoma arts)

Kutukana na kwamba alifeli mwanzoni,akarudia kama PC anawaza asiendelee na form five,hivyo kama kuna uwezekano ajiunge chuo moja kwa moja!

Wanajukwaa,je kwa hizi marks ana sifa za kujiunga 1.chuo gani?
2.course gani?
3.Lini?
Ushauri wenu ni wa muhimu sana guys!

Naombeni ushauri Tafadhali.
Asante
Akafanye professional courses basic level za ATEC au procurement, mimi kijana wangu kafanya hivyo, vituo vizuri viko vichache, niliona tangazo hapa jamii forum hebu litafute mimi nilifika Feb ndio walikua wanaandikisha, Tegeta Commercial education center simu yao ni 0622 390 856 nimefika na pako vizuri sana wale walimu wanaonekana wanajua wanachofanya.
 
acha ujinga mkuu nyie ndo mnafanya jamiiforum ionekane yakijinga siku hizi

Mjinga ni mimi au huyo mwenye div 4, wenzake wakati wanasoma yeye alikuwa anaishia kwenye miembe eti anamkomoa mzazi! Alikuwa anamkomoa au anajikomoa?
 
Habari za muda huu members jf-elimu!nikiri kuwa ni Mara yangu ya kwanza kupost humu jf-elimu.Ninaomba ushauri,mdogo wangu amemaliza kidato cha NNE kama private candidate na amepata div.four ya 26,ana C mbili,(literature na kiswahili),D anazo tano na F ya mathematics(hayo ndio matokeo yake,amesoma arts)

Kutukana na kwamba alifeli mwanzoni,akarudia kama PC anawaza asiendelee na form five,hivyo kama kuna uwezekano ajiunge chuo moja kwa moja!

Wanajukwaa,je kwa hizi marks ana sifa za kujiunga 1.chuo gani?
2.course gani?
3.Lini?
Ushauri wenu ni wa muhimu sana guys!

Naombeni ushauri Tafadhali.
Asante
Ni kweli unaonekana mgeni humu na ndo maana umekurupuka ukaingia na viatu na kuandika "tetesi"
Back to Topic..mi naona mtu mwenye kiwango hicho anafaa kusomea ukuu wa Mkoa wa Dalisalama.[emoji12]
Vipi una swali jingine..?[emoji15]
 
Akafanye professional courses basic level za ATEC au procurement, mimi kijana wangu kafanya hivyo, vituo vizuri viko vichache, niliona tangazo hapa jamii forum hebu litafute mimi nilifika Feb ndio walikua wanaandikisha, Tegeta Commercial education center simu yao ni 0622 390 856 nimefika na pako vizuri sana wale walimu wanaonekana wanajua wanachofanya.
ATEC ni course gani mkuu?,hii procurement ni sawa
 
Kama anatokea kolomije ni rahisi sana, Bashite anazo mbinu mtambuka...
 
Mbona matokeo yake ni mazuri tuu kampita mpka mkuu wa mkoa wa Dar!

Ila course za point hizo ziko nyingi sana mkuu, karibu Certificate zote akituma maombi atakubaliwa kwa matokeo hayo kutoa za sayansi
 
Ushauri:

Huwezi kumchagulia mtu fani unless awe na kipaji cha ile fani husika.
Asume "Computer Information System" lakini kama hana hata interests za hiyo fani....
So ni vyema muulize angependa kuwa nani.... Katika fani atakazotaja chagua miongoni mwa hizo

Ahsante
 
Back
Top Bottom